Majibu mengine yanafurahishaMwe!
Mkukuta, mkurabita, kilimo kwanza, nk yote hayo huyaoni
Ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya
1.mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali, Unga, Mchele mahindi, sukari nk.
2.Kupanda kwa kodi za uagizaji bidhaa mbalimbali, hata magari chakavu(MITUMBA), bei juu, , kuongeza kodi kwa magari yanayonunuliwa kupitia Zanzibar.
3.Kuongeza utitiri wa shule zisizo na walimu wala vifaa, hata umeme hazina
4.Kuleta timu ya Taifa ya Brazil kwa gharama za walipa kodi.
5.
6.
7.
Ungeanzia tangia kupata uhuru.
Ukiona watu wanakuwa wepesi wa ku-ID madudu badala ya mema ujue hapo kuna shida! Kinachosikitisha zaidi ni kwamba hata wafuasi na washabiki wa CCM wameshindwa kutaja hata 1 jema JK amefanya!1.mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali, Unga, Mchele mahindi, sukari nk.
2.Kupanda kwa kodi za uagizaji bidhaa mbalimbali, hata magari chakavu(MITUMBA), bei juu, , kuongeza kodi kwa magari yanayonunuliwa kupitia Zanzibar.
3.Kuongeza utitiri wa shule zisizo na walimu wala vifaa, hata umeme hazina
4.Kuleta timu ya Taifa ya Brazil kwa gharama za walipa kodi.
5.
6.
7.
1.Kaongea na obama
2.Kaoa mke mwingine
3.Kaomba wezi warudishe sehemu ya waliyoiba