Swali la dharura kwa wanawake tu, ushauri

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,558
45,830
Natamani kuweka nywele zangu ile style ya kujisokota na bleach kwa mbali anaipendelea sana Shamimu Mwasha wa 8020 blog nimechoka rasta halafu sipendi weavings.Nywele zangu ni natural halafu fupi flani siwezi bana.

Je inadumu muda gani?

Pia je ile style ni decent kwenda kwa job interview?

Maana nina interview tar 28, nisijeonekana muhuni
 
kuonekana muhuni inategemea na mtu anayekufanyia interview sasa kuondoa mushkeli bora upate kazi kwanza.... kukaa kmda mrefu ila usikutane na maji
kampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamata
Nashukuru kwa ushauri rafiki
Ni style gani desent unadhani itanifaa mamito
 
kampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamata
Nashukuru kwa ushauri rafiki
Ni style gani desent unadhani itanifaa mamito

Nakushauri hakuna kampuni ya wageni ambayo haina ngozi ya Tako na hao ndo huwa wanakwamisha ni bora usuke twende kilioni kama Fenela Mukangara yaishe!
 
Mkuu nenda kwenye interview na nywele yako fupi tu ipake mafuta na chana vizuri utatoka pouwa n then baadya ya mwezi unaweza kuweka maana hata mie nilitaka kuweka nikaambiwa subilia uingie kwenye ajira maana nilikuwa sina ajira ila nina mpango February nitaweka
 
Jaman JF hadi raha,

kila post hata ndogo sana utaikuta humu na watu hawana hiana kuchangia mawazo.

Live longer JF - MMU
 
kampuni ya wageni lakini Sijui kama kuna mbongo ila si unajua Tena appearance nayo inamata
Nashukuru kwa ushauri rafiki
Ni style gani desent unadhani itanifaa mamito
me simple chana nywele zako au suka mitindo ya nywele yenye heshima
 
Nakushauri hakuna kampuni ya wageni ambayo haina ngozi ya Tako na hao ndo huwa wanakwamisha ni bora usuke twende kilioni kama Fenela Mukangara yaishe!
ahahaaa dah tano kichwa loh
Hao rangi ya tako nilishaenda interview ya kwanza hakuwepo mbongo bna
Sijui safari Hui
Ndo maana naogopa
 
Mkuu nenda kwenye interview na nywele yako fupi tu ipake mafuta na chana vizuri utatoka pouwa n then baadya ya mwezi unawezas kuweka maana hata mie nilitaka kuweka nikaambiwa subilia uingie kwenye ajira maana nilikuwa sina ajira ila nina mpango February nitaweka
asante mamii ngoja nipunguze kidogo kwanza
 
Wala usiangaike na minywele mikubwa. Kama una sura ndefu afu kadogo basi tafta mtaalamu akusuke yebo tumia bunda 7 zijae trust me utapendeza hakuna mfano. Na maswali yatapungua yaan toka kiheshimaa na husivae nguo zenye rangi kali utakuja niambia. Yebo iyo akusuke kilimanjaro mikia mirefu weee lazima watakukubali. Afu husijipodowe sana lazima interview ushinde

kila la kheri.
 
Wala usiangaike na minywele mikubwa. Kama una sura ndefu afu kadogo basi tafta mtaalamu akusuke yebo tumia bunda 7 zijae trust me utapendeza hakuna mfano. Na maswali yatapupngua yaan toka kiheshimaa na husivae nguo zenye rangi kali utakuja niambia. Yebo iyo akusuke kilimanjaro mikia mirefu weee lazima watakukubali. Afu husijipodowe sana lazima interview ushinde

kila la kheri.
thanks ila bunda 7 loh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom