Swali kwa wanawake

Swali kwa wanawake

Ukimvutia mwanamke then ukampotezea if it wont turn tu a hate basi atakuchukulia poa sana siku ukirudi and probably hutampata kabisa.

Mademu wote waliowahi kunikubali then nikawapotezea bila kuwapelekea moto kwakua nipo kwenye mahusiano mengine sikuwahi kuwapata nlivyowarudia, until nlipogundua a rule of thumb, mpelekee moto then mpotezee ukirudi una nafasi kubwa ya kusamehewa.
Kwamba ulivompotezea nae akapata, leo umevurugwa ndio wajirudisha kwake! Kumbuka anakukubali sana ndio mana akakubali uende kwake either kwasababu yoyote ile kakubali!
 
Assumptions zingine huwa hazipo!
Ndoivo imetokea sasa utafanyeje?? Tatizo mmeshazoea habari za wanawake tu ingekua inahusu mwanamke aliekuringia wakati ulimkubali na kumtamani sana leo amekuja kwako naamini hapo ungekua na majibu lukuki!
 
Sasa kwangu anakujaje kujaje kwa mfano wakati attention yenyewe haikuwepo...!?
Ndo amekuja hivo na wewe mwenyewe umekubali aje yeye ni mtu mzima hawezi kuja from nowhere! Means wewe ndie ulimpa location na mkawasiliana kumuelekeza kwako akafika
 
Ukimvutia mwanamke then ukampotezea if it wont turn tu a hate basi atakuchukulia poa sana siku ukirudi and probably hutampata kabisa.

Mademu wote waliowahi kunikubali then nikawapotezea bila kuwapelekea moto kwakua nipo kwenye mahusiano mengine sikuwahi kuwapata nlivyowarudia, until nlipogundua a rule of thumb, mpelekee moto then mpotezee ukirudi una nafasi kubwa ya kusamehewa.
Demu akikuchukia si ndio anakupenda kwasababu imemuuma kukukosa.
 
Back
Top Bottom