Sasa iliyongumu ni ipi hapo??
kuamua kaka,,yani ndoa naipena,mume nampenda tena sana,halafu kazi nzuri pia....lakini kuna leo na kesho kwasababu siku hazigandi ikiokea yalonitokea mimi kwake ilhali sina kazi si itakua majanga....HAPANA! tutakaa chini tutaongea umuhimu wa mimi pia kuwa na kazi kutokana na mabadiliko ya nchi kila iitwapo leo.
Aksante mwallu, tatizo la wengi wetu hatujui kuishi na mume. Hapo mtoto wa Dot. com angekujaje juu na hivi ana kidigirii basi ingemtoka na ile.. ah wazazi wangu hawakunisomesha bure babu wee, usingeuze pazia au fenicha mie. Kumbe ishu kama hii ni kwenda nayo taratiiibu bila kuchoka mwisho atakuelewa. Siku nyingine unaichomekea kiujanja hata ukiwa Taifa.ningeamua kua mpole
huku nikimbmbeleza taratiiibu aniruhusu nifanye kazi..na faida za sisi wote kufanya kazi
am sure with time,angenielewa tu na angeniruhusu
mtu kama huyo hutakiwi kumkera kabisa
Aksante mwallu, tatizo la wengi wetu hatujui kuishi na mume. Hapo mtoto wa Dot. com angekujaje juu na hivi ana kidigirii basi ingemtoka na ile.. ah wazazi wangu hawakunisomesha bure babu wee, usingeuze pazia au fenicha mie. Kumbe ishu kama hii ni kwenda nayo taratiiibu bila kuchoka mwisho atakuelewa. Siku nyingine unaichomekea kiujanja hata ukiwa Taifa.
Kudadadeki ....................
Naleta mahari halafu kale ka duka kako kalioko kariakoo nataka ukafunge ......lol!!!!!!!!!!!
Kazi uzuri wake nini??
Hayo unayodhani yatatokea yasipotokea??
Ni kuomba tu kistaharabu bila kumkarahisha wala kumlazimisha,kwa sababu kwangu mimi kilichonishinda ni kumuomba mwanaume kila kitu..kuna vitu vingine najisikia vizuri nikivigharamia,
Kwanini unataka kupoteza muda?
Mbona wewe unajidai kuijua hiyo kesho unapotaka kazi?
.....................hahah kwamba kinakukera au kinanizuia kukuhudumia ipasavyo baba? Unantafutia dhambi bure maana nkikosa kazi ntageuka kigulu na njia kwa majirani kupiga umbeya
Hebu fikiria umesoma hadi umemaliza Elimu ya chuo
Ukakutana na jamaa mmoja ambae mnaanzisha uhusiano
Baada ya kuanzisha mahusiano na huyu jamaa ulifanikiwa kupata ajira na maisha yenu ya mahusiano yaliendelea vyema sana
Lakini baada ya miezi 6 ulipata maradhi ambayo yalipelekea kukuweka kitandani kwa mwaka mzima na huyu jamaa alikuwa bega kwa bega na wewe na alitumia kila uwezo wake kukutibu na ilifikia hadi alikupeleka South Africa kwaajili ya matibabu,baada ya huo mwaka ulipona
Lakini kutokana na ugonjwa uliokuwa nao ilikubidi ukae nyumbani kwa mwaka mwingine ili urudishe afya yako iliyokuwa imeporomoka kwa sababu ya ugonjwa
Baada ya huo mwaka wa kurudisha afya jamaa yako akakuomba usianze kutafuta kazi kwanza ili mpate muda wa kukaa pamoja na zaidi sana mfanye mipango ya kufunga ndoa,ukakubali
Mlifanikiwa kufunga ndoa na kwa muda wote wa huo mwaka na nusu mlikaa kwa amani na furaha na hakuna ulichokuwa unakihitaji kutoka kwa mumeo ambacho alikuwa na uwezo nacho ulikikosa,kwa kifupi uliifurahia ndoa sana tena sana
Baada ya muda huo ulimuambia kuwa ni wakati wa wewe kujishughulisha
Hapo ndipo anakuomba kuwa huna haja ya kutafuta kazi kwani kila unachokihitaji unakipata
Je ingekuwa ni wewe ndio mke wa huyo jamaa ungeamua nini na kwanini?
Karibu .................!!
Kwanini unataka kufanya kazi kwenye mazingira hayo?
Angekuelewa nini?
Unadhani huyo hajui anachokifanya?
Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kwani mna jema nyie?
hakuna mwanadamu anayeifahamu kesho yake,
Kuna watu leo wanakula hela iliyotafutwa na Babu zao,na shetani yupo kazini pia kutia watu majaribuni...uzuri wa kazi ni financial security!!
Wanaofanya kazi hawana mashosti?halafu inakufanya uwe bize kuepuka vijiwe vya mtaani kwasababu kama utakua tu nyumbani kwa vyovyote utakua na mashosti majirani ambao hupenda kupiga soga mda mwingi usipojiunga nao watakuona unaringa!!
Una mwanaume ambae anajua majukumu yake kwa mke bila huyo mke kuomba
Bado unahitaji kazi?
Aksante
mwallu, tatizo la wengi wetu hatujui kuishi na
mume. Hapo mtoto wa Dot. com angekujaje juu na hivi ana kidigirii basi
ingemtoka na ile.. ah wazazi wangu hawakunisomesha bure babu wee,
usingeuze pazia au fenicha mie. Kumbe ishu kama hii ni kwenda nayo
taratiiibu bila kuchoka mwisho atakuelewa. Siku nyingine unaichomekea
kiujanja hata ukiwa Taifa.