Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Hiyo kali mkuu. Kwahiyo haipaswi kuwajua waliowabikiri wake zetu manake utakuwa msala tukiwakuta pamoja hata kama ni kwa nia njema.
Hahahaha yeah mkuu hawa wanawake we acha tu sasa pindi anapolinganisha ufanisi mzee inakuwa mbaya zaidi utakuta kumbe lihawala lake lipo Tanga wewe na wife wako mpo Dar mzee trip za kikazi lazima wakutane na hawala wakumbushie au wife anafunga safari mpaka alipo jamaa.
Na hata ukioa bikra, lazima ukishamtoa hilo "wenge" atatafuta mtu mwingine wa kuendelea nae, ima kwa talaka au kujiiba!
Yeah iwa wanapenda kubadilisha radha tofauti tofauti kama ulimuumiza basi atatafuta radha tamu pindi wanapo pata radha tamu kuliko awali ndo wanawehuka zaidi.