Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Jana wakati niko na wadau tunapata kamvinyo ulitokea mjadala mkali. Nimeona niwasilishe jamvini labda naweza pata ufumbuzi manake pale hatukufikia muafaka.
Inasemekana mwanamke anapomegwa kwa mara ya kwanza (anapokatwa bikra) anapata maumivu makali sana kiasi cha kumchukia mmegaji. Lakini cha ajabu eti mwanamke asilani hamsahau mwanaume aliyembikiri. Akikutana naye wakati wowote, hata kama ameshaolewa na mtu mwingine anapenda ajikumbushie malavidavi na mkata bikra wake.
Kuna ukweli wowote katika hili? Naomba kuwasilisha
Inasemekana mwanamke anapomegwa kwa mara ya kwanza (anapokatwa bikra) anapata maumivu makali sana kiasi cha kumchukia mmegaji. Lakini cha ajabu eti mwanamke asilani hamsahau mwanaume aliyembikiri. Akikutana naye wakati wowote, hata kama ameshaolewa na mtu mwingine anapenda ajikumbushie malavidavi na mkata bikra wake.
Kuna ukweli wowote katika hili? Naomba kuwasilisha