Swali Kwa wanaume?

Swali Kwa wanaume?

usilete uzungu baba, ikisimama nchale,, ikilala pumzika,, ikichimamatena nchale
Ukiwa mpikaji au mtu wa jikoni unaweza kuinua sufuria bila banio likiwa kwenye jiko lenye moto mkali ukaweka chini au mahali kama chakula kinaungua na vidole visipate shida mana ni mazoea.

Ila mtu wa ofisini sana na hajui kupika hyo sufuria ikiungua hawezi hata kuisogelea mpk apate kitu Cha kutoa na akijaribu kushika bc vidole vitaungua.

Mkuu leo umenifungua kitu tissue zinazoea joto na kuhimili endapo ukizizoesha mara Kwa mara.
 
Ukiwa mpikaji au mtu wa jikoni unaweza kuinua sufuria bila banio likiwa kwenye jiko lenye moto mkali ukaweka chini au mahali kama chakula kinaungua na vidole visipate shida mana ni mazoea.

Ila mtu wa ofisini sana na hajui kupika hyo sufuria ikiungua hawezi hata kuisogelea mpk apate kitu Cha kutoa na akijaribu kushika bc vidole vitaungua.

Mkuu leo umenifungua kitu tissue zinazoea joto na kuhimili endapo ukizizoesha mara Kwa mara.
naam mkuu,
 
  • Ni dhana mbili tofauti.
  • Swala la Muda: Kuna point tatu hapa chini.
1. Hutegemea na Afya yako (hili huendana na lishe, Mazoezi),
2. Jinsi chemistry yakjo na mpenzi wako ilivyo.
3. Rate ya kukutana kwa siku/ wiki/ mwezi - Hutofautiana kati ya mtu na mtu.
Ila kum@ tamu jamani sijui labda hua mna experience kama Mimi


Tena ukiipania ni chaaap wazungu haoooo

Ila nikipiga mfano round ya kwanza nikapiga ya pili kesho hasubuhi napiga mpaka nasimamia ukucha gem ya kibabe
 
Ni vyakula gaini haswa ni vizuri kwa afya ya uzazi wa kiume?

Ulipo ona unawahi ku mwaga wazungu ulifanya ni nini kurekebisha na kupona ili tatizo?

Mwisho ni kweli kama umeweza kumfikisha mwanamke flani kileleni orgasm je utaweza kwa kila mwanamke?
Chukua karanga mbichi,changanya na asali,kula hivyo kila siku utaongeza nguvu na wingi wa mbengu na yimara wa mbengu za kiume
 
Chukua karanga mbichi,changanya na asali,kuka hivyo kila siku utaongeza nguvu na wingi wa mbengu na yimara wa mbengu za kiume
Shukrani ngoja ni design juice apa ya asali maziwa, swaumu tende na karanga

Mwendo wa kuwasha pump 😂😂😂🙌
 
Mleta mada kuna tofauti kati ya bao zito na kuwahi kumwaga.
Wengi wanaweza kukutajia karanga, korosho na takataka nyingine, ila wewe unatakiwa ya kusimamisha muda mrefu/kuchelewa kumaliza.

Chua na mafuta ya karafuu taratibu hadi hatua ya kusimama ila ukiona unakaribia kumwaga acha. Tumia around dakika saba.
Ukiwa unaenda kukojoa, achia mkojo kidogo kidogo
Kabla ya tendo kunywa maji mengi, sio chini ya lita 2.5
Fanya mazoezi ya push-up
 
Hayo mambo hayana fundi, muhim jitahid kuzipiga sanaaaa yaani tembeza kwa siku wa 4 angalau,, harafu chakula chako kikuu iwe mayai 3 ya kienyeji kwa siku, supu ya nyama, Samaki, dagaa na mboga za majani miche shoo tupu! Muda wa jion ukiwa umepumzika Pata Chai yenye mdarasini, mlonge, tangawizi, Iriki Chai ikiisha chemka vzr Tia limau na asali. Piga hiyo dozi wiki 2/4 utakuja kushukuru!
NB: UKIPATA MBUSUSU USIKURUPUKE NAYO JIPE MUDA KWENYE KUMUANDAA HRF HAKIKISHA UNAPOKUWA UNAIPIGA USIITIZAME NA KWENYE AKILI YAKO JENGA PICHA TOFAUTI NA KITU UNACHOFANYA, UKIHIS KUMALIZA KABLA YAKE JIZUIE TOA IPIGWE BARIDI HRF PATA GLASS MOJA YA MAJI BARIDI MZEE WANGU HILO UMEFAULU
 
Kama hupigi mzigo kila siku lazima tu uwahi kumwaga mzee, wala siyo tatizo , ukipiga mzigo mara kwa mara utaona unaanza kuchelewa kumwaga , ila kama kila siku unalala na mke wako na unamwaga sekunde 1 hilo kweli tatizo.
 
Tatizo siyo vyakula tu, kuna mazoezi kama ya kegel nk, lakini pia utulivu wa akili pia no jambo kubwa sana.

Wanaume wengi hivi sasa tunapambana na utafutaji na issue ya mahusiano tunaifanya kama dharula au hitaji la hamu ya gafla baada ya kuona kitu fulani.

Hivyo basi kitu kama, lemon, vitunguu saumu, ginger, honey and kitunguu maji, ukitengeneza mjumuisho mzuri na ukanywa kwa utaratibu inaimarisha misuli.
 
Mleta mada kuna tofauti kati ya bao zito na kuwahi kumwaga.
Wengi wanaweza kukutajia karanga, korosho na takataka nyingine, ila wewe unatakiwa ya kusimamisha muda mrefu/kuchelewa kumaliza.

Chua na mafuta ya karafuu taratibu hadi hatua ya kusimama ila ukiona unakaribia kumwaga acha. Tumia around dakika saba.
Ukiwa unaenda kukojoa, achia mkojo kidogo kidogo
Kabla ya tendo kunywa maji mengi, sio chini ya lita 2.5
Fanya mazoezi ya push-up
Mafuta ya karafuu yanasaidia nini apo nipe elimu

Pia unachua ili kuongeza nguvu, ukubwa au performance

Pia yanauzwa wapi
 
Yuko fasta kama kokoriko!! msaidieni tiba lishe!!
Ngumu kumpa mtu tiba kwa shida amabyo haujaipitia, mwisho wa siku ndio ataona watu wana mdhihaki bure, hospitali ni bora,
Kwa mujibu wa google hapo ni mazoezi na misosi mizuri, ila kama alikiwa ni mtu wa kuugegeda mkono wake mwenyewe, aache mara moja..
 
Back
Top Bottom