Swali kwa wanaume?

Eti wanasinzia๐Ÿคฃ๐Ÿฅด
 
Chunguza utajua mkuu sema uzuri wanajua kupenda na wana wivu sana hata akibeba mimba una uhakika mtoto atakaa kwenye chumba na sebule huko tumboni ๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃAisee๐Ÿ™Œ
 
Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?

Na kwanini?

1. Mafuta, aliyenona, mbantu!
2. Rangi ya andazi, maji ya kunde, au rangi ya Edeni.

Sababu.
1. Watamu Sana
2. Wanajoto zuri
3. Rahisi kuwakojoza
4. Anaweza kukutengea hata kwenye upaja, kama hajisikii au anaumwa. Na ukaenjoi.
5. Akivaa vinguo vya mtego unaenjoi kumtazama.
6. Kummiliki unasema hapa Nina mtambo, ni kama unamiliki Lamborghini au Kadilaki au V8 flani hivi.
7. Ananirusha Roho na hata nikiibiwa naweza Kufa
Ndukii๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
๐Ÿคฃ๐ŸคฃNimeona namba 7 tu๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‰
 
Mkuu kuna wamenona wanakua kama furushi.
 
Ivi kuna uwiano gani kati ya wanawake wembamba na ujeur kibur kisilani ubishi aaaaah hapana mie iz spoku zimunishinda bora nibak na yutong zangu tu
Nasikia pia ila Sina uhakika ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ