Kaukau. Wanajua kuililiaJe,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
Dah sikuelewa mada ngoja nimalize kukusanya hela ya umeme ntakuja na jibu🤣🤣jamani
Mazoezi tu na kupangilia mlo, mafuta tumbon mashavuni na mikononi ni uzembe .Sasa yatashukaje sehemu moja?
Heri walimu wa UPE, kuliko hawa wa siku hizi.Je,mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
Mashavu yapi???.......hebu kuwa specific kiongozi.Mazoezi tu na kupangilia mlo, mafuta tumbon mashavuni na mikononi ni uzembe .
Kwani Kuna mashavu ya aina ngapi mkuu ? Taja yote nichague nilimaanisha yap.Mashavu yapi???.......hebu kuwa specific kiongozi.
Nimerudi mrembo🤣🤣sawa bhana
🤣🤣🤣aiseeAwe na mafuta kule kwenye kipochi manyoya , tako , mapaja na hipsi, pia awe na macho flani hivi ya kuongea yani akikuangalia tuu macho yanaongea yenyewe.
Tofauti na hapo ajue wazi kabisa kama yeye hana mafuta hizo sehemu hana tofauti na konokono na kama ni kaukau hanatofauti na msumari
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha uongoNimerudi mrembo
Ukweli binafsi Napenda na natamani mwanamke ambae mwili wake upo well balanced asiwe bonge sana Wala Mwembamba sana.
😂😂😂 tatizo la vibonge unaweza kuwa unapanga nae mipango ya kimaisha dakika 5 nyingi ashasinzia