Swali kwa wanaume waliooa tu

Swali kwa wanaume waliooa tu

'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.

'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.

Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.

Nadhani nimeeleweka.
kuwa wazi na kilichotokea maana naona kama unazunguka zunguka, mimi ndio maana huwa nikitaka penzi kwa mwandani huwaga sitaki kusikia oooh baby leo nimechoka let do it kesho,sijui oooooh blaaah blaaaaaah na hii ndio madhara yake unaambiwa l am tired baby na wewe unageuka upande wa pili unakoroma.
 
Nimeoa ila cheti cha ndoa kimeliwa na panya kwa hiyo sina nguvu kisheria kuchangia chochote hapa!
 
'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.

'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.

Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.

Nadhani nimeeleweka.

Dah!
Hatari kweli
 
Kwa scenarios zote mbili,
1. Nikimkuta jamaa anamwaga uno kwa mke wangu, kiuhalisia nitasononeka sana, nitanyongea ila sitafanya maamuzi ya pupa. Nitawaacha wamalize mambo yao, ila kwa upande wangu kuna vitu kadhaa vitabadilika, kama ratiba ya chakula na sitamfukuza.
2. Nitamuonesha ushahid nilionao ili ajue kwamba najua anachokifanya nyuma ya mgongo wangu.
shut up hujaoa wewe hujui uchungu wa kuchapiwa
 
kuwa wazi na kilichotokea maana naona kama unazunguka zunguka, mimi ndio maana huwa nikitaka penzi kwa mwandani huwaga sitaki kusikia oooh baby leo nimechoka let do it kesho,sijui oooooh blaaah blaaaaaah na hii ndio madhara yake unaambiwa l am tired baby na wewe unageuka upande wa pili unakoroma.

Sijaoa na sina mpenzi.
Imetokea nimewaza hivyo.
 
'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.

'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.

Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.

Nadhani nimeeleweka.
rudisha kwao kijijini unasuburi nini tena hapo!
 
Scanerio zote 2 ni usaliti ndani ya ndoa na jambo hilo kila mtu ana maamuzi yake na kutegemea na amerukwa akili kiasi gani, kwa hiyo ukitegemea majibu ya wadau hutopata aina moja ya maamuzi. Hivi hujawahi kusikia mtu ameuwa kwa jambo hilo? Hujawahi kusikia mtu amemwacha mke wake kwa hali hiyo? Hujawahi kusikia mwingine akimsamehe mke wake na kuacha maisha yaendelee, mwingine anaweza kuacha leo na akamrudia mke wake kesho nk nk kama yamekukuta chukua maamuzi unayoona yanastahili

Nataka kuona mawazo ya wadau. Sijaomba ushauri.
 
Sijaoa na sina mpenzi.
Imetokea nimewaza hivyo.
aaaaaaah nimekuelewa mkuu nilijua ni real story,sasa kama bado hujaoa ukianza na fikra hizo utaahirisha kuoa mkuu,ungeingia kwanza uonje uhondo wa ngoma kwanza
 
'Scenario' namba moja:
Unarudi nyumbani toka mizunguko yako ya kila siku, unafika nyumbani hamadi unakutana na mke wako anakusaliti na mwanaume mwingine nyumbani kwako.

'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.

Sasa naomba uniambie, wewe utafanya nini ukikutana na 'scenario' moja wapo hapo juu. Yani nataka uniambie ile 'immediate action' utakayoichukua ndani ya dakika moja unaposhuhudia suala hilo.
Sitaki uniambie utafanya nini baada ya siku au week au miezi kupita baada ya kitendo hiko.

Nadhani nimeeleweka.
Kule USA, wanaiita. " Worst case scenario"
 
Mwanamke mzinzi ni kumuacha tu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ni kweli kabisa mzee wa Blackberry

Dunia ya sasa aiitaji kisasi wala nini kuja kufa na presha au kufungwa jera. Ukiona mtu upo nae kimapenzi alafu anakuwa mjanja mjanja unaachana nae, na ndio maana wanaume/wanawake wana sifa zote za kuwa katika maisha ya ndoa wanashindwa kutokana na kuendekeza ngono zisizo na malengo yoyote na kutaka kuumizana vichwa
 
'Scenario' namba mbili:
Unapata taarifa kuwa mke wako wa ndoa anakusaliti, unafanya uchunguzi na kujiridhisha ni kweli anafanya hivyo. Na ushahidi unao.

hii ya pili ndio imenifanya nisikuelewe, hasa katika swali lako la ndani ya dakika moja nitafanya nini?
Mkuu hata mie sikumuelewa hapo.
 
Nimeuliza swali, usiniulize swali hilo hilo.
Sina jibu ndio maana nimeuliza humu. Na sijawahi kukutana na 'scenario' hata moja wapo.
Ok,kwa upande wangu nitaita waandishi wa khabari na polisi na mashahidi.
 
Huwezi jua utakachokifanya kwa sasa, itakapokutokea ndo utafahamu kwa wakati huo
 
Jawabu za hapa hazitokupa jibu sahihi inategemea wakati wa hayo matukio, mapenzi yako kwa mkeo na pia uaminifu wako katika ndoa hapo utajua cha kufanya
 
J33 na mwanaume mzinzi afanyweje?yaan huu upuuzi ndio si upendi kabisa,yaan mnajiona bora nyie viumbe?mpaka kero
 
Back
Top Bottom