Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Sasa utajiona mzuri kwa mitongozo ya Jf?Hakuna mwanamke asiyependa kutongozwa na hakuna mwanaume asiyependa kutongoza.
Mwanamke anajiona mkamilifu yaani mzuri pale anapotongozwa, na mwanaume anajiona rijali kutongoza.
Mwanamke akisema anachukia kutongozwa, basi ujue ama hatongozwi maana hana mvuto au anatangaza kwamba anatongozwa ili watu wajue kuwa anatongozwa na kwa maana hiyo yeye ni mzuri.
Wanawake ni ngumu kuelewana na mwanaume maana kwanza mliumbwa wakati wanaume tukiwa usingizini
Sent using Jamii Forums mobile app
