Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Kwani na wewe umeoa???? Au wewe ndiyo mdogo wake Loly anayelea kidume mwenye mtoto wa miaka 10!
babu DC mjukuu nilipotea tu njia ila si haba kujua yanayoendelea humu.
Kwani na wewe umeoa???? Au wewe ndiyo mdogo wake Loly anayelea kidume mwenye mtoto wa miaka 10!
Mimi sijaoa lakini nina experience ya ndoa....don't ask me further questions:eyebrows:
babu DC mjukuu nilipotea tu njia ila si haba kujua yanayoendelea humu.
Usijali mjukuu.
Sasa mbona majibu ya Babu DC hukuyaona au kuna majibu fulani uliyategemea??
Mimi sijaoa lakini nina experience ya ndoa....don't ask me further questions:eyebrows:
tatizo babu umeulizwa swali zito umetoa jibu jepesi. Mjukuu nimeshindwa kuamini hilo jibu.
oooh!
!
!
Acheni hizo banaaa...mimi nimewaambia msiniulize maswali wal msiweke alama za mshangao wala kuwa na doubts....:lol:shauri zenu nimeishaokoa ndoa kumi hadi sasa hivi ngoja shahidi yangu SL aje hapaHa ha ha ha, wanyampara hawatakaa waishe
unasimamia ndoa ya watu hadi unadhani hiyo xperience ni ya ndoa yako?
tatizo babu umeulizwa swali zito umetoa jibu jepesi. Mjukuu nimeshindwa kuamini hilo jibu.
Wajukuu hawawezi kuelewa majibu mazito...ndio maana wababu wengi ama wanatoa hadithi au majibu ambayo ni practical..Mweleze tu huyo mdogo wako akawahi mchuma aone kama tamaa zote hazijafungwa gavana!!
nimeelewa kwa nini chuo kikuu wapipewa 1+1= wote unaona wanaomba logarithm table wenye calulator wengine wanaomba waende maabara.
Hilo swali mbona babu katoa jibu sahihi, swali lilikuwa rahisi na babu katoa jibu rahisi.
Kuna usemi unasema ' kama huwezi kuelezea kitu kigumu kwa urahisi basi jua hata wewe hukielewi vizuri'
Mnawezaje kudumisha ndoa zenu pamoja na vishawishi vyote hvi vnavowazunguka?
nimeelewa kwa nini chuo kikuu wapipewa 1+1= wote unaona wanaomba logarithm table wenye calulator wengine wanaomba waende maabara.
Hilo swali mbona babu katoa jibu sahihi, swali lilikuwa rahisi na babu katoa jibu rahisi.
Kuna usemi unasema ' kama huwezi kuelezea kitu kigumu kwa urahisi basi jua hata wewe hukielewi vizuri'
sasa babu kama ukioa vishawishi vinakufa naturally, kwanini wanaume waliooa wengi wanasumbua mabinti?
Wewe ndio umeliewa vizuri somo la Babu....Kuanzia sasa utakuwa Dada Mkuu....Hawa akina Hus bado wanahitaji kupigwa msasa zaidi ili waweze kuwaelewa watu wa 1947!
Hao wanakuwa hawajao bali wanafanya majariobio...Sisi tulipooa sense za kuona vitu vyote vya nje zilikufa kabisa...Tuliambiwa kuwa vile viapo ndiyo dawa kuua matamanio ya extras!!
kwahiyo babu kila ukitamani unakumbuka kiapo na tamaa inakata hapo hapo eeh?
na kweli sikielewi, ngoja niendelee kumuhoji babu ili nielewe.
Mhh!!!babu DC mjukuu nilipotea tu njia ila si haba kujua yanayoendelea humu.
Mhh!!!
Yaani hadi hapo bado una mashaka na maelezo ya Babu...Hebu jiandae tukale mahari ili ujionee mwenyewe kwa vitendo!!
Audio ni ngumu sana ila audio/visual ni very very simple!! Try it!
Mhh!!!