lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Ukweli ni kuwa hakuna mwanamke duniani ambae anakuzidi kipato utaweza kuishi nae labda awe ameamuatu kutokujali au umri umeenda sana
Usitarajie waje hapa wakuambie ukweli
Kuna tofauti sana kati ya mwanamke wa hapa JF na wa nje ya hapa
Kuna wakati huwa nakubaliana na @Lara1 kwa yeye kuwa muwazi
Watakuambia mara oooh hujiamini,mara ooh mapenzi hayajali pesa na bla bla zingine kama hizo wakati na wao wanajua kabisa hawawezi kuishi na mtu ambae hana hela au wanamzidi kipato ..........!!!!!!!!!!!
umeonaaaaaa! wanawake wa humu fekeroooooooooo! wachunaji kichizi!