Swali kwa wadada walio single

Swali kwa wadada walio single

Ukweli ni kuwa hakuna mwanamke duniani ambae anakuzidi kipato utaweza kuishi nae labda awe ameamuatu kutokujali au umri umeenda sana

Usitarajie waje hapa wakuambie ukweli

Kuna tofauti sana kati ya mwanamke wa hapa JF na wa nje ya hapa

Kuna wakati huwa nakubaliana na @Lara1 kwa yeye kuwa muwazi

Watakuambia mara oooh hujiamini,mara ooh mapenzi hayajali pesa na bla bla zingine kama hizo wakati na wao wanajua kabisa hawawezi kuishi na mtu ambae hana hela au wanamzidi kipato ..........!!!!!!!!!!!

umeonaaaaaa! wanawake wa humu fekeroooooooooo! wachunaji kichizi!
 
Unamaanisha nini mkuu?

Maana yangu ni kwamba hakuna boflo ngumu mbele ya chai...

Mwanaume anaweza kumtongoza mwanamke wa hadhi yoyote maadam kazingatia vigezo vya sanaa ya utongozaji...
 
Maana yangu ni kwamba hakuna boflo ngumu mbele ya chai...

Mwanaume anaweza kumtongoza mwanamke wa hadhi yoyote maadam kazingatia vigezo vya sanaa ya utongozaji...

Hili linawezekana kama ni kutafuna na kusepa

Huyu jamaa nadhani anazungumzia ndoa au mahusiano serious ....!!!!!!!!

Au sijaelewa???

mwenye kipato cha chini ya hapo wala asijisumbue kukufuata kutangaza nia??
 
Hili linawezekana kama ni kutafuna na kusepa

Huyu jamaa nadhani anazungumzia ndoa au mahusiano serious ....!!!!!!!!

Either way mwanamke yoyote unaweza kumpata...

Si wanawake wote hutazama ya mwilini, wengi wenye kutafuta furaha ya mahusiano hutazama ya moyoni.
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??

uongo some of us like tall laies na pia kumlala mwanamke mwenye kipata zaidi yangu
 
Either way mwanamke yoyote unaweza kumpata...

Si wanawake wote hutazama ya mwilini, wengi wenye kutafuta furaha ya mahusiano hutazama ya moyoni.

Huenda ukawa sahihi lakini hii bado ni kama hadithi kwa sababu bado hili halijanitokea na kikubwa zaidi sijaliona kwa yoyote !!
 
bottom line is men are so daaammn insecure!!!


babu eeee hebu jengeni kujiamini


acha kipato tu mwanamke akikupita height tu baass ni tatizo!

au nimesema uongo??

Huu ni uongo hata wewe unajua hilo .....!!!!!!!!
 
Ukweli ni kuwa hakuna
mwanamke duniani ambae anakuzidi kipato utaweza kuishi nae labda awe
ameamuatu kutokujali au umri umeenda sana

Usitarajie waje hapa wakuambie ukweli

Kuna tofauti sana kati ya mwanamke wa hapa JF na wa nje ya hapa

Kuna wakati huwa nakubaliana na @Lara1 kwa yeye kuwa muwazi

Watakuambia mara oooh hujiamini,mara ooh mapenzi hayajali pesa na bla
bla zingine kama hizo wakati na wao wanajua kabisa hawawezi kuishi na
mtu ambae hana hela au wanamzidi kipato ..........!!!!!!!!!!!

dunia nzima kha!!! uongo huu watu tuna mifano mingi tu! mtapiga miayo hadi kesho kwa mawazo yasiyo na tija
 
Enzi unafall in love na toni Braxton

Huyu au??????

images
images
 
Back
Top Bottom