Swali kwa wadada walio single

Swali kwa wadada walio single

reg edit

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
403
Reaction score
504
Habari wana MMU!
Ningependa kujua hivi kuna uhusiano wowote wa muonekano wa mwanamke (hapa namaanisha mavazi, vipodoz anavyopaka,nywele) na aina ya mpenzi ambaye unategemea uwe naye?
Hapa nikimaanisha kama umevaa kuanzia juu mpaka chini vitu vyenye thamani let say si chini ya 200000 basi mtu mwenye kipato cha chini ya hapo wala asijisumbue kukufuata kutangaza nia??
Siku njema!!
 
Mkuu hivi ushawahi kuona wapi Simba anamuuliza Swala nikutafune au nisikutafune?...
 
Ukweli ni kuwa hakuna mwanamke duniani ambae anakuzidi kipato utaweza kuishi nae labda awe ameamuatu kutokujali au umri umeenda sana

Usitarajie waje hapa wakuambie ukweli

Kuna tofauti sana kati ya mwanamke wa hapa JF na wa nje ya hapa

Kuna wakati huwa nakubaliana na @Lara1 kwa yeye kuwa muwazi

Watakuambia mara oooh hujiamini,mara ooh mapenzi hayajali pesa na bla bla zingine kama hizo wakati na wao wanajua kabisa hawawezi kuishi na mtu ambae hana hela au wanamzidi kipato ..........!!!!!!!!!!!
 
Usiogope ukubwa wa boflo kiboko yake chai uliza bei tu ila usitangaze kwa wengine usikute hadi kamongo aka mini kabaang anatoa na mavazi yake ya milioni.
 
Huo sisi tunauita ukweli mchungu ......!!!!!!!
Babu Dark City nakusalimu popote ulipo .......!!!!!!!

Nilidhani tunapumzika leo kaka....

Ila ukweli bwana hawa ndugu zetu ni wa kuishi nao kwa machale....

Akishakupita kipato, elimu au mdaraka ujiandae kukiona cha moto..... You need to be a genius to be with her with certainity!

Ngoja kwanza nimalizie hadithi za wajukuu....nitarudi!

Babu DC!!
 
Habari wana MMU!
Ningependa kujua hivi kuna uhusiano wowote wa muonekano wa mwanamke (hapa namaanisha mavazi, vipodoz anavyopaka,nywele) na aina ya mpenzi ambaye unategemea uwe naye?
Hapa nikimaanisha kama umevaa kuanzia juu mpaka chini vitu vyenye thamani let say si chini ya 200000 basi mtu mwenye kipato cha chini ya hapo wala asijisumbue kukufuata kutangaza nia??
Siku njema!!

Hivi kuna mtu hapa duniani anapenda kupakwa shombo?

Ila kwa wanaume, wana uwezo mkubwa wa kum-upgrade na kuishi na mwanamke kwa muda mrefu zaidi. Kinyume chake sina hakika kabisa kama inawezekana!

Babu DC!!
 
Nilidhani tunapumzika leo kaka....

Ila ukweli bwana hawa ndugu zetu ni wa kuishi nao kwa machale....

Akishakupita kipato, elimu au mdaraka ujiandae kukiona cha moto..... You need to be a genius to be with her with certainity!

Ngoja kwanza nimalizie hadithi za wajukuu....nitarudi!

Babu DC!!

Wanawake wanafikiri kuwa kazi kubwa ya mwanaume kwao ni kuwatimizia mahitaji yao [ya kifedha]
Wakati fulani nilikuwa nadhani huo ni matazamo wa wanawake wetu wa uswazi [maana ndiko ninakoishi na kukutana nao]

Kumbe hilo ni tatizo la wanawake wengi bila kujali ni wa wapi
Nililiona hili baada ya kuja kukutana na wanawake wa maeneo na vipato pia elimu tofauti tofauti

Kama atakuwa na uhakika wa kujikimu yeye mwenyewe mahitaji yake yote anakuona kama mwanamke mwenzake hivi
Yaani salama yako labda uwe kama Adolf Hitler hivi [mkono wa chuma]

Yaani inatakiwa asikuzidi chochte kile

Ndo maana ni bora tu utafute mnyonge wako basi
Ukijidai kuwatafuta hawa walioko kwenye mibajeti mibivu ya serikali kubali kukosa amani kila uchao ......!!!!!!
 
Habari wana MMU!
Ningependa kujua hivi kuna uhusiano wowote wa muonekano wa mwanamke (hapa namaanisha mavazi, vipodoz anavyopaka,nywele) na aina ya mpenzi ambaye unategemea uwe naye?
Hapa nikimaanisha kama umevaa kuanzia juu mpaka chini vitu vyenye thamani let say si chini ya 200000 basi mtu mwenye kipato cha chini ya hapo wala asijisumbue kukufuata kutangaza nia??
Siku njema!!

lets be reasonable! kama mtu hamuendani why try?
 
Ukweli ni kuwa hakuna mwanamke duniani ambae anakuzidi kipato utaweza kuishi nae labda awe ameamuatu kutokujali au umri umeenda sana

Usitarajie waje hapa wakuambie ukweli

Kuna tofauti sana kati ya mwanamke wa hapa JF na wa nje ya hapa

Kuna wakati huwa nakubaliana na @Lara1 kwa yeye kuwa muwazi

Watakuambia mara oooh hujiamini,mara ooh mapenzi hayajali pesa na bla bla zingine kama hizo wakati na wao wanajua kabisa hawawezi kuishi na mtu ambae hana hela au wanamzidi kipato ..........!!!!!!!!!!!

Aisee... kwahiyo kuna uhusiano mkubwa kati ya muonekano wa mwanamke na mwanaume atakayekuwa naye? Ila umeongea kitu cha msingi sana mkuu... thumbs up!!!
 
Aisee... kwahiyo kuna uhusiano mkubwa kati ya muonekano wa mwanamke na mwanaume atakayekuwa naye? Ila umeongea kitu cha msingi sana mkuu... thumbs up!!!

Sio muonekano tu hadi vichwani mwao pia .......!!!!!!!!
 
ebu wacheni longo longo...ukweli wote upo hapo kwenye signature yangu.
 
Zaituni wa Masaki mwaka wa kumi na nane katulia tuli na Abdala wa Manzese pamoja na minyororo yake shingoni, kiunoni na miguuni! Mapenzi maridhiano ukijichatua utazeeka na uzuri wako wa carolite!
 
Back
Top Bottom