Swali kwa Pasco wa JamiiForums na wapambe wenzake kuhusu mtu wao anayetaka kwenda Magogoni

Mikael Aweda

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
2,973
3,901
Pasco wa JF, naomba jibu lako,

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, CCM siyo mama yangu, siku wakiiacha ile misingi tuliyoanzisha kwayo, nitaiacha -- JK Nyerere (Siku ya kumwaga Kawawa- Mungu Amrehemu)

Kama Edward Lowassa na John Malecela ni Wagombea Urais, Chukueni kadi yenu ya CCM, naenda Nyumbani (JK Nyerere 1995)
Sasa tukubaliane kuwa kuna CCM Mbili, CCM Maslahi (kula) na CCM Imani ( Jaji Joseph S. Warioba 2014).

Naomba kumwuliza Pasco wa JF kuhusu Nyerere ( Weka Kauli ya Warioba pembeni kwanza);

Hivi leo mwl JK Nyerere angekuwa hai (Mungu amrehemu) akaona Sakata la Buzwagi, Richmond, EPA na ESCROW angebaki CCM?

Swali la pili muhimu zaidi, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.

WENU

Mikael Aweda.
 
Pasco wa JF, naomba
jibu lako,

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
CCM siyo mama yangu, siku wakiiacha ile misingi tuliyoanzisha kwayo,
nitaiacha -- JK Nyerere (Siku ya kumwaga Kawawa- Mungu Amrehemu)
Kama Edward Lowasa na John Malecela ni Wagombea Urais, Chukueni kadi
yenu ya CCM, naenda Nyumbani (JK Nyerere 1995)
Sasa tukubaliane kuwa kuna CCM Mbili. CCM Maslahi (kula) na CCM Imani (
Jaji Joseph S. Warioba 2014)
Naomba kumwuliza pasco wa JF kuhusu Nyerere ( Weka Kauli ya Warioba
pembeni kwanza);

Hivi leo mwl JK Nyerere angekuwa hai (Mungu amrehemu) akaona Sakata la
Buzwagi, Richmond, EPA na ESCROW angebaki ccm?
Swali la pili muhimu zaidi, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea
Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri
safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.
WENU
Mikael Aweda.
Mikael, hili swali lako ni gumu sana kwao tutawasubiri sana hawatakuja. Sana sana utaona watahamisha hoja . Hebu tusubiri tuwasikie.
 
i think you guys mna miss a point nyerere sio malaika ... nyerere ni mtu tu kama wewe na mimi , kama jambo hakukubaliana nalo nyerere sio lazima na sisi tukubaliane naye ... CCM sio ya nyerere , taratibu za chama zitafuatwa kusimamisha mgombea ... iwe nyerere hakupenda ama alipenda ... demokrasia ndani ya chama ndio itaamua...

 
Pasco wa JF, naomba
jibu lako,

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
CCM siyo mama yangu, siku wakiiacha ile misingi tuliyoanzisha kwayo,
nitaiacha -- JK Nyerere (Siku ya kumwaga Kawawa- Mungu Amrehemu)
Kama Edward Lowasa na John Malecela ni Wagombea Urais, Chukueni kadi
yenu ya CCM, naenda Nyumbani (JK Nyerere 1995)
Sasa tukubaliane kuwa kuna CCM Mbili. CCM Maslahi (kula) na CCM Imani (
Jaji Joseph S. Warioba 2014)
Naomba kumwuliza pasco wa JF kuhusu Nyerere ( Weka Kauli ya Warioba
pembeni kwanza);

Hivi leo mwl JK Nyerere angekuwa hai (Mungu amrehemu) akaona Sakata la
Buzwagi, Richmond, EPA na ESCROW angebaki ccm?
Swali la pili muhimu zaidi, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea
Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri
safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.
WENU
Mikael Aweda.

Mikael. Pasco hajaishia mitini safari hii kajitosa bahari ya hindi.
 
Pasco wa JF, naomba jibu lako,

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
CCM siyo mama yangu, siku wakiiacha ile misingi tuliyoanzisha kwayo, nitaiacha -- JK Nyerere (Siku ya kumwaga Kawawa- Mungu Amrehemu)
Kama Edward Lowasa na John Malecela ni Wagombea Urais, Chukueni kadi yenu ya CCM, naenda Nyumbani (JK Nyerere 1995)
Sasa tukubaliane kuwa kuna CCM Mbili. CCM Maslahi (kula) na CCM Imani ( Jaji Joseph S. Warioba 2014)
Naomba kumwuliza pasco wa JF kuhusu Nyerere ( Weka Kauli ya Warioba pembeni kwanza);

Hivi leo mwl JK Nyerere angekuwa hai (Mungu amrehemu) akaona Sakata la Buzwagi, Richmond, EPA na ESCROW angebaki ccm?
Swali la pili muhimu zaidi, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.
WENU
Mikael Aweda.

Luka 9 : 60

..Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe enenda ukautangaze ufalme wa Mungu.
 
Pasco wa JF, naomba jibu lako,

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema
CCM siyo mama yangu, siku wakiiacha ile misingi tuliyoanzisha kwayo, nitaiacha -- JK Nyerere (Siku ya kumwaga Kawawa- Mungu Amrehemu)
Kama Edward Lowasa na John Malecela ni Wagombea Urais, Chukueni kadi yenu ya CCM, naenda Nyumbani (JK Nyerere 1995)
Sasa tukubaliane kuwa kuna CCM Mbili. CCM Maslahi (kula) na CCM Imani ( Jaji Joseph S. Warioba 2014)
Naomba kumwuliza pasco wa JF kuhusu Nyerere ( Weka Kauli ya Warioba pembeni kwanza);

Hivi leo mwl JK Nyerere angekuwa hai (Mungu amrehemu) akaona Sakata la Buzwagi, Richmond, EPA na ESCROW angebaki ccm?
Swali la pili muhimu zaidi, kama Mwl angekuwepo, Je, Lowasa angegombea Urais? Ni swali ambalo nitafurahi sana wanaccm wakinijibu kwa dhamiri safi, ni maombi yangu kuwa PASCO wa JF hataingia Mtini.
WENU
Mikael Aweda.

Hayo yote madogo, wakati wa Nyerere BOT iliibiwa na kufilisika kabisa mpaka ikachomwa na moto juu, mara mbili, ya zamani na mpya. Alifanya nini zaidi?
 
i think you guys mna miss a point nyerere sio malaika ... nyerere ni mtu tu kama wewe na mimi , kama jambo hakukubaliana nalo nyerere sio lazima na sisi tukubaliane naye ... CCM sio ya nyerere , taratibu za chama zitafuatwa kusimamisha mgombea ... iwe nyerere hakupenda ama alipenda ... demokrasia ndani ya chama ndio itaamua...


Nyerere siyo ni mtu kama wewe nikweli lakini ufahamu tunatofautiana,JK2aliambiwa bado kijana sana 2005 watu wakapuuza maoni ya Nyerere leo nchi ni iko autopilot,huyo mwajiri wenu alitanabaishwa kuwa ni mwizi anautajiri unaotiliwa mashaka,kwa ujinga na kuendekeza matumbo yenu mko tayari kumaliza sori za viatu kuwalaghai waTZ kuwa mwajiri wenu anamaamuzi magumu hivyo anafaa kupewa uongozi wa nchi mmesahau kuwa anatamaa ya kutajirika na anaweza kufanya chochote ili kupata pesa. kutokana uwezo wake anategemea pesa kwenda ofisi kuu ya nchi,leo mfumo wa elimu umeharibiwa,maliasili zinatoroshwa kama hakuna serikali,wizi wa pesa za umma ndiyo ujanja wenyewe,
 
Nyerere siyo ni mtu kama wewe nikweli lakini ufahamu tunatofautiana,JK2aliambiwa bado kijana sana 2005 watu wakapuuza maoni ya Nyerere leo nchi ni iko autopilot,huyo mwajiri wenu alitanabaishwa kuwa ni mwizi anautajiri unaotiliwa mashaka,kwa ujinga na kuendekeza matumbo yenu mko tayari kumaliza sori za viatu kuwalaghai waTZ kuwa mwajiri wenu anamaamuzi magumu hivyo anafaa kupewa uongozi wa nchi mmesahau kuwa anatamaa ya kutajirika na anaweza kufanya chochote ili kupata pesa. kutokana uwezo wake anategemea pesa kwenda ofisi kuu ya nchi,leo mfumo wa elimu umeharibiwa,maliasili zinatoroshwa kama hakuna serikali,wizi wa pesa za umma ndiyo ujanja wenyewe,

Kama si mtu alikuwa nani? Hali ..hanywi. .halali. ...
 
Back
Top Bottom