Lini bunge litachukua hatua ya kuwafukuza bungeni kutokana na kupoteza sifa za kuwa wabunge ?Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Ni kweli wanalipwa pesa za umma, lakini kinachosababishwa walipwe fedha hizo si kuchelewa kwa Rufaa yao. Ni vituko vya Spika kutotekeleza kile Katiba ya nchi inaelekeza. Sioni maamuzi ya Rufaa yao yakihusika chochote na ubunge wao.Likimalizwa CHADEMA litamalizwa kitaifa pia. Wanalipwa pesa za umma wale Mkuu
Nafikiri hawa covid ndio wanagharimia safari za mbowe na wenzake mikoani. Chadema tulipigwa.Nami nimejiuliza juu ya hilo ingekuwa vizuri muafaka juu ya swala hili ufikiwe.
Serikali/ccm hawajui hili??Yani wachangishe huku wanapata ruzuku??ndugai angefanya tarumbeta kwa mboweHakuna aliefukuzwa uanachama wala aliekata rufaa, hili unaloliona ni igizo kama yalivyo maigizo mengine, ili kuwahadaa wanachama wao waweze kukichangia chama kwa madai kwamba sasa hivi chama hakipati ruzuku kutoka serikalini.
Ila nyuma ya pazia kinapata ruzuku kama kawa ila inaliwa na mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu mkuu na genge lao huku mitandaoni. Usipoteze muda na nguvu zako kuwaamini wanasiasa hata siku moja.
Kwa iyo nusrati hanje cdm ndo ilimtoa gerezani??cdm Ina gereza??alitolewa usiku kesho yake akapewa ubungeHIVI UNAFIKIRI BUNGE HALINA AKILI?HIVI UNAFIKIRI SPIKA HANA PAKUJITETEA HATA AKIITWA MAHAKAMANI? MCHEZO MZIMA WANAUJUWA ULIVYOENDA MPAKA WAKAWAFUKUZA UANACHAMA ISIVYO HALALI UNAFIKIRI HAYO MAJINA NDUGAI ALIYATEUA YEYE BILA KULETEWA NA TUME YA UCHAGUZI>?INAMAANA ANAVYO VIELELEZO HUSIKA NA AKIITWA MAHAKAMANI ANAVITOA AMBAYOMITAKUWA AIBU KUBWA KWA KATIBU MKUU CHADEMA NA MBOWE PIA CHADEMA WALIPELEKA MAJINA LAKINI WAKASHINDWA KUPATANA WAKAZUNGUKANA HILO LINAJULIKANA KILA MTU ANATAKA APELEKE WA KWAKE SASA HOJA YANGU JE HAKUNA MAHAKAMA YA KUMSHITAKI SP0IKA NA MWANASHERIA ILI KUBATILISHA UWEPO WAO BUNGENI? NA JE KAMA HAWAKUPELEKA MAJINA KWANINI WASIPELEKE WANAYOONA YANA FAAA KUWA WABUNGE? WANAONA ISHU YAO ITABUMA ITAFICHUKA HAPO HAWAWEZI KWENDA MAHAKAMANI HATA SIKU MOJA MBOWE NA GENGE LAKE NI WAHUNI HAIJAPATA KUTOKEA
Mmeshiriki kufoji nyaraka za taasisi halafu mnalazimisha rufaa?Nami nimejiuliza juu ya hilo ingekuwa vizuri muafaka juu ya swala hili ufikiwe.
....ni mbinu za CHADEMA. Kina Mdee wana pension zao pale zimeshikiliwa, kila wanapopata mshahara zinachotwa.....Waarabu wa Penba hujuana.......Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Vikao vya chama vina kalenda yake. Maamuzi ya KK yametoka na yalipaswa kuheshimiwa kwanza, na kikao cha baraza kuu hakiwezi kuitishwa nje ya kalenda eti kwa vile kuna rufaaCHADEMA walichukua hayo maamuzi kuwatuliza wanachama wao ila kama kweli walikuwa na nia ya kuwafukuza wangeshaitisha kikao cha baraza kuu ili watoe maamuzi.
Wengine wabunge wa viti maalumu ni wake wa viongozi wa CHADEMA hapo unaona wazi kuna mchezo unaendelea.
Kwasasa kipaumbele niNi taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
CHADEMA SI TAASISI KAMA UNAVYOITAMBULISHA MKUU HILO NI GENGE TU LA UHALIFU NIMEISOMA KATIBA YA CHADEMA NA KUONA HAKUNA KIPENGELE KINACHOFUATWA NA HAOVIONGOZI WAKE KWANZA MPAKA SASA HAKUNA MWENYEKITI HALALI WA CHADEMA MAANA ALISHAMALIZA MUDA WAKE SASA KAMA KATIBA YENU TU MNASHINDWA KUIFUATA HALAFU MNAPIGA KELELE KATIBA MPYA YANINI WAKATI YENU HAMUIFUATI?NYINYI NI WACHAFU JISAFIUSHENI KWANZA NDIYO ME KWA UMA KUTAKA KATIBA MPOYA YA NCHIVikao vya baraza kuu la Chadema huitishwa kikatiba na sio takwa la mtu au mihemko ya kisiasa, CHADEMA ni taasisi makini na imara. Soma katiba ya Chadema utaelewa.
JF ingewekwa sheria kuwa waliohitimu darasa la tano B na kukosa nafasi ya kuendelea hawaruhusiwi kujiunga, jee ndugu yangu Iboya2021 tungekufahamia wapi?C
CHADEMA SI TAASISI KAMA UNAVYOITAMBULISHA MKUU HILO NI GENGE TU LA UHALIFU NIMEISOMA KATIBA YA CHADEMA NA KUONA HAKUNA KIPENGELE KINACHOFUATWA NA HAOVIONGOZI WAKE KWANZA MPAKA SASA HAKUNA MWENYEKITI HALALI WA CHADEMA MAANA ALISHAMALIZA MUDA WAKE SASA KAMA KATIBA YENU TU MNASHINDWA KUIFUATA HALAFU MNAPIGA KELELE KATIBA MPYA YANINI WAKATI YENU HAMUIFUATI?NYINYI NI WACHAFU JISAFIUSHENI KWANZA NDIYO ME KWA UMA KUTAKA KATIBA MPOYA YA NCHI
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Waliokata rufaa ni 6 pekee wale 13 wanafanya nini?Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Kwa kuwa wanatambuliwa na CCM na wanakula kodi za wananchi bila ya kuwa katika chama chochote cha siasa nao bila haya kuendelea na huu wizi wa kodi za wananchi mchana kweupe sidhani kama hiyo rufaa(kama ipo) kama itakuwa na impact yoyote.Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.
Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.
Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?