Swali kwa CHADEMA: Lini rufaa za akina Halima Mdee na wenzake 18 zitasikilizwa?

Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Lini bunge litachukua hatua ya kuwafukuza bungeni kutokana na kupoteza sifa za kuwa wabunge ?
 
Vikao vya baraza kuu la Chadema huitishwa kikatiba na sio takwa la mtu au mihemko ya kisiasa, CHADEMA ni taasisi makini na imara. Soma katiba ya Chadema utaelewa.

Kamati kuu ya CHADEMA ilishamaliza kazi yake ya kuwavua uanachama wale Covid 19, ni haki yao kukata rufaa kwenye baraza kuu, na sio kazi ya mwenyekiti au kamati kuu kushinikiza au kulazimisha kikao cha baraza kuu kiitishe, kamati kuu haipaswi kupreempty maamuzi ya baraza kuu, hivyo rejea kasome katiba ya CHADEMA.

Kukumbusha tu, hao Covid 19 sio wanachama wa kwanza wa CHADEMA kuvuliwa uanachama na kwenda kukata rufaa kwenye baraza kuu, Zitto naye alifanya hivyo hivyo wakati akifukuzwa CHADEMA.

Yote kwa yote, hata baraza kuu likitupilia mbali rufaa zao, bado spika na serikali ya CCM itaendelea kuwatambua Covid 19 kama wabunge halali na kuwalipa pesa, ndivyo watawala wa CCM walivyodhamiria hivyo, na lolote liwe. Hivyo Chadema hawana muda wa kupoteza kucheka na malaya wa kisiasa, malaya wa kisiasa wanajijua na wanajua wapi pa kwenda kujiuza!!
 
Hili swala liko wazi tu mambo ya kusubiri rufaa ni either kukosa uelewa, kutafuta pa kuchomokea au kupangia Chadema ratiba ya mambo yake, waache ya msingi kwao waanze kutunishiana vifua na hawa wabunge. If anything, hawa watu kuendelea kukumbatiwa na Bunge inaweza kuwa more advantageous kisiasa Kwa chadema kwa sababu inawapa hoja ya kusema jinsi gani katiba inavyochezewa Kwa gharama ya walipa Kodi.
 
Hakuna aliefukuzwa uanachama wala aliekata rufaa, hili unaloliona ni igizo kama yalivyo maigizo mengine, ili kuwahadaa wanachama wao waweze kukichangia chama kwa madai kwamba sasa hivi chama hakipati ruzuku kutoka serikalini.

Ila nyuma ya pazia kinapata ruzuku kama kawa ila inaliwa na mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu mkuu na genge lao huku mitandaoni. Usipoteze muda na nguvu zako kuwaamini wanasiasa hata siku moja.
Serikali/ccm hawajui hili??Yani wachangishe huku wanapata ruzuku??ndugai angefanya tarumbeta kwa mbowe
 
HIVI UNAFIKIRI BUNGE HALINA AKILI?HIVI UNAFIKIRI SPIKA HANA PAKUJITETEA HATA AKIITWA MAHAKAMANI? MCHEZO MZIMA WANAUJUWA ULIVYOENDA MPAKA WAKAWAFUKUZA UANACHAMA ISIVYO HALALI UNAFIKIRI HAYO MAJINA NDUGAI ALIYATEUA YEYE BILA KULETEWA NA TUME YA UCHAGUZI>?INAMAANA ANAVYO VIELELEZO HUSIKA NA AKIITWA MAHAKAMANI ANAVITOA AMBAYOMITAKUWA AIBU KUBWA KWA KATIBU MKUU CHADEMA NA MBOWE PIA CHADEMA WALIPELEKA MAJINA LAKINI WAKASHINDWA KUPATANA WAKAZUNGUKANA HILO LINAJULIKANA KILA MTU ANATAKA APELEKE WA KWAKE SASA HOJA YANGU JE HAKUNA MAHAKAMA YA KUMSHITAKI SP0IKA NA MWANASHERIA ILI KUBATILISHA UWEPO WAO BUNGENI? NA JE KAMA HAWAKUPELEKA MAJINA KWANINI WASIPELEKE WANAYOONA YANA FAAA KUWA WABUNGE? WANAONA ISHU YAO ITABUMA ITAFICHUKA HAPO HAWAWEZI KWENDA MAHAKAMANI HATA SIKU MOJA MBOWE NA GENGE LAKE NI WAHUNI HAIJAPATA KUTOKEA
Kwa iyo nusrati hanje cdm ndo ilimtoa gerezani??cdm Ina gereza??alitolewa usiku kesho yake akapewa ubunge
 
Nami nimejiuliza juu ya hilo ingekuwa vizuri muafaka juu ya swala hili ufikiwe.
Mmeshiriki kufoji nyaraka za taasisi halafu mnalazimisha rufaa?

Ingekuwa mahakama zipo huru walitakiwa wawe sero kwa uhaini
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
....ni mbinu za CHADEMA. Kina Mdee wana pension zao pale zimeshikiliwa, kila wanapopata mshahara zinachotwa.....Waarabu wa Penba hujuana.......
 
CHADEMA walichukua hayo maamuzi kuwatuliza wanachama wao ila kama kweli walikuwa na nia ya kuwafukuza wangeshaitisha kikao cha baraza kuu ili watoe maamuzi.
Wengine wabunge wa viti maalumu ni wake wa viongozi wa CHADEMA hapo unaona wazi kuna mchezo unaendelea.
Vikao vya chama vina kalenda yake. Maamuzi ya KK yametoka na yalipaswa kuheshimiwa kwanza, na kikao cha baraza kuu hakiwezi kuitishwa nje ya kalenda eti kwa vile kuna rufaa
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Kwasasa kipaumbele ni
1)katiba
2)katiba
3)katiba
Hata la covid ni matokeo ya kuwa na katiba isiyofaa! Maswali ya msingi yalipaswa kuulizwa kwa kiongozi wa muhimili wa mjengo
1.) Kwanini anafanya michezo michafu dhaifu na isiyostahili?
  • kuingiza kihuni mamp bila utaratibu kufatwa
  • kuratibu zoezi la kuua upinzani mjengoni waziwazi
  • kuonesha chuki na kukosa uvumilivu kwa anayepinga maamuzi ya serikali
  • kuwa biased katika maamuzi MF. kukubali kufukuza mamp wa cuf lkn wacdm hapana
  • kumnyima mp haki zake huku akiwa hoi baada ya kushambuliwa na risasi kazini
  • kushangaa sheria alizosimamia zikapita haraka haraka kwakudai labda alilala ama alisafiri
  • kuruhusu serikali kuliamulia buunge MF. Kusema wazi mkubwa akisema wengine tunakaa kimya
  • kuruhusu rushwa kama kumuahidi msigwa ump akihamia chamachao baada ya kutumwa afanye hayo
  • kushindwa kutatua kutofautiana kwa taasisi yake na nyingine kitaalamu na kistaarabu mf. CAG
  • kushawishi uvunjifu wa sheria mfano kupiga watu bakora
  • kukaa kimya demokrasia inaposiginwa mfano mkuu wake anapokataza mtu wachama chake kugombea uteuzi nae jimboni
  • kutoshawishi katiba mpya ilhali iliyopo inamapungufu mengi
  • kutoibua hoja na Sera makini zakuisaidia nchi mjengoni
  • kutoonesha upendo na ukaribu na maspika waliomtangulia kwa kuwaalika buungeni na kukutana nao Mara kadhaa.
  • kushindwa kusimamia hoja mpaka mwisho,kuziachia hewani hewani hasa zinazoikosoa serikali
  • kujipa ubabe asiostahili na kinyume na sheria mf. Kuita RAIA bwungeni pale wanapolikosoa bwunge lao
  • kuzuia bwunge live haki ya wananchi kufatilia chombo chao
  • kutabiria wapinzani kutorejea bwungeni baada ya uchaguzi badala ya kushawishi bwunge mchanganyiko
  • kushindwa kubeba hoja mahsusi itakayo iinua nchi mf. Mabadiliko ya mtaala was ELIMU.
  • kutokutana na makundi mbalimbali ili kupanua maarifa mf. Walemavu,vituo vya yatima/wazee,machinga,wakulima/wafugaji,wasanii,wafanyabiashara wakubwa nk.
    Kunamadhaifu meeengi yakuudhi na kusikitisha ndiyo maana akapewa kings asishtakiwe akijua makusudi afanyayo anaweza kuja kudhalilika mahakamani.
    MTU mjinga anaweza kuacha hayo yakitaifa akaulizia link kinamdee watakaliwa kikao?? You small little brains you,you have to talk about serious issues which can affect your grand parents and your grand son and the whole nation at large...mudee and jesika? Shhiiii...
 
C
Vikao vya baraza kuu la Chadema huitishwa kikatiba na sio takwa la mtu au mihemko ya kisiasa, CHADEMA ni taasisi makini na imara. Soma katiba ya Chadema utaelewa.
CHADEMA SI TAASISI KAMA UNAVYOITAMBULISHA MKUU HILO NI GENGE TU LA UHALIFU NIMEISOMA KATIBA YA CHADEMA NA KUONA HAKUNA KIPENGELE KINACHOFUATWA NA HAOVIONGOZI WAKE KWANZA MPAKA SASA HAKUNA MWENYEKITI HALALI WA CHADEMA MAANA ALISHAMALIZA MUDA WAKE SASA KAMA KATIBA YENU TU MNASHINDWA KUIFUATA HALAFU MNAPIGA KELELE KATIBA MPYA YANINI WAKATI YENU HAMUIFUATI?NYINYI NI WACHAFU JISAFIUSHENI KWANZA NDIYO ME KWA UMA KUTAKA KATIBA MPOYA YA NCHI
 
C

CHADEMA SI TAASISI KAMA UNAVYOITAMBULISHA MKUU HILO NI GENGE TU LA UHALIFU NIMEISOMA KATIBA YA CHADEMA NA KUONA HAKUNA KIPENGELE KINACHOFUATWA NA HAOVIONGOZI WAKE KWANZA MPAKA SASA HAKUNA MWENYEKITI HALALI WA CHADEMA MAANA ALISHAMALIZA MUDA WAKE SASA KAMA KATIBA YENU TU MNASHINDWA KUIFUATA HALAFU MNAPIGA KELELE KATIBA MPYA YANINI WAKATI YENU HAMUIFUATI?NYINYI NI WACHAFU JISAFIUSHENI KWANZA NDIYO ME KWA UMA KUTAKA KATIBA MPOYA YA NCHI
JF ingewekwa sheria kuwa waliohitimu darasa la tano B na kukosa nafasi ya kuendelea hawaruhusiwi kujiunga, jee ndugu yangu Iboya2021 tungekufahamia wapi?
Mkuu Mshana Jr hivi hakuna namna hawa watu wakapatiwa sayansi ya jadi wakaamka asubuhi akili iko upgraded?
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Waliokata rufaa ni 6 pekee wale 13 wanafanya nini?
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Kwa kuwa wanatambuliwa na CCM na wanakula kodi za wananchi bila ya kuwa katika chama chochote cha siasa nao bila haya kuendelea na huu wizi wa kodi za wananchi mchana kweupe sidhani kama hiyo rufaa(kama ipo) kama itakuwa na impact yoyote.
Waendelee tu kumuwakilisha Ndugai.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom