Swali kuhusu Selection kidato cha tano mwaka wa masomo 2016 /2017

Status
Not open for further replies.
d3ef21f6354fb8c711150d90b328ddca.jpg
d7e686be0f73b5cb93d0038c0d2556d8.jpg
 
Unajua ninachojiuliza hizi tetesi za kusema div III haendi advance nani anazitoa kwa kuwa kwenda advance tunaangalia point kwenye mchepuo wako sasa Kuna mtu ana div III kwenye comb yake mfano pcb ana c mbili na b moja jumla point 8 hapo hapo mtu ana div II kwenye combination ya pcb ana c mbili na d moja hivyo jumla point 10 nani mjanja hapo na kusema division III haendi advance
MAJINA YA METOKA LEO NENDA www.tamisemi.go.tz/
 
MAJINA KIDATO CHA TANO
Unajua ninachojiuliza hizi tetesi za kusema div III haendi advance nani anazitoa kwa kuwa kwenda advance tunaangalia point kwenye mchepuo wako sasa Kuna mtu ana div III kwenye comb yake mfano pcb ana c mbili na b moja jumla point 8 hapo hapo mtu ana div II kwenye combination ya pcb ana c mbili na d moja hivyo jumla point 10 nani mjanja hapo na kusema division III haendi advance
(5) MWAKA 2017/17 click here pleas www.tamisemi.go.tz/noticeboard/tangazo-1059-20160624-Waliochaguliwa-kujiuga-kidato-cha-tano-na-vyuo-vya-ufundi-2016 AU CLICK http://tamisemi.go.tz/form_five_selection/
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom