Swali kuhusu Korea

Swali kuhusu Korea

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
2,734
Reaction score
1,781
Kwema wadau?

Siku moja (juzi juzi tu) nilisikia habari furani kwenye redio, ila sikuwa na muda mzuri wa kufatilia, Eti, "Korea kusini wamebadilisha muda wao ili uendane na muda wa Korea Kasikazini, ili kuonesha kurudi katika mahusiano mazuri, je kijiografia hii ikoje?

Naomba ufafanuzi kwenu wajua mambo!
 
Kwema wadau?

Siku moja (juzi juzi tu) nilisikia habari furani kwenye redio, ila sikuwa na muda mzuri wa kufatilia, Eti, "Korea kusini wamebadilisha muda wao ili uendane na muda wa Korea Kasikazini, ili kuonesha kurudi katika mahusiano mazuri, je kijiografia hii ikoje?

Naomba ufafanuzi kwenu wajua mambo!
inawezekana kubadili masaa japo utakuwa unalazimisha kama haupo kwenye eneo moja la longitudo. Kuna nchi zimelazimisha masaa yao yaendane na nchi zingine au eneo fulani kwa sababu tofauti. Mfamo Sudan wao walibadili masaa ili wafanane na Saudi Arabia. Kigoma kule masaa yao yanaendana na burundi ndio maana mawio na machweo yanatofautiana sana na mikoa mingine. Ila kwa kuwa ni nchi moja basi masaa lazima yafanane tu.
 
Kwema wadau?

Siku moja (juzi juzi tu) nilisikia habari furani kwenye redio, ila sikuwa na muda mzuri wa kufatilia, Eti, "Korea kusini wamebadilisha muda wao ili uendane na muda wa Korea Kasikazini, ili kuonesha kurudi katika mahusiano mazuri, je kijiografia hii ikoje?

Naomba ufafanuzi kwenu wajua mambo!
Correction: waliobadiri saa ni Korea Kaskazini na sio Korea Kusini. Karibu
 
Back
Top Bottom