SWALI: Je, umalaya ni nini?

SWALI: Je, umalaya ni nini?

Sikio la muazini

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2026
Posts
249
Reaction score
469
Watu wengi wanadhani mtu kua malaya mpaka awe kwenye danguro lodge baa n.k lakini umalaya upo wa aina nying

1. Mwanamke kupenda hela za wanaume na kurubuni kupitia mwili wake
3. Kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja

Kwa mfano mwanamke ana mume wake lakini ana mwanaume mwingine nje

ONGEZENI NA NYIE MENGINE

Karibuni wote:
 
Back
Top Bottom