SWALI: Je, umalaya ni nini?

SWALI: Je, umalaya ni nini?

Hebu niambie tofauti ya ukahaba umalaya na ukicheche japo kwa ufupi
Ukahaba ni biashara,
umalaya unatombana hovyo tu bila kujali Hela.
Ukicheche unaaruka hautulii kwenye mahusiano na mtu mmoja, Leo uko na mahusiano na huyu, kesho yule.
 
Watu wengi wanadhani mtu kua malaya mpaka awe kwenye danguro lodge baa n.k lakini umalaya upo wa aina nying

1. Mwanamke kupenda hela za wanaume na kurubuni kupitia mwili wake
3. Kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja

Kwa mfano mwanamke ana mume wake lakini ana mwanaume mwingine nje

ONGEZENI NA NYIE MENGINE

Karibuni wote:
Kwa maana hiyo hata mwanaume mwenye mwanamke zaidi ya mmoja au mwenye mke halafu na mwanamke nje naye ni malaya.

Umalaya hauna JINSIA
 
Back
Top Bottom