Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Habari!
Je, Tanzania ni nchi ya Wajinga?
Je, ni wananchi ndio Wajinga au viongozi ndiyo wajinga?
Leo ni miaka 62 tangu tumpoke Mwingereza Tanganyika lakini jiji kubwa la Dar es Salaam bado kuna mitaa hakuna maji safi na salama.
Leo hii barabara za kuunganisha wilaya na mikoa yake nyingi ni za vumbi.
Miaka 62 ya uhuru wananchi wenye pass za kufasiria hata milioni 2 hawafiki. Inamaana wengi wapo tu kupiga Dona na dagaa daily.
Kaja Nyerere hamna alichoacha zaidi ya mwenge.
Kaja Mwinyi kapambana kaacha mitumba.
Kaja Mkapa kapambana kawaletea tv na simu.
Kaja Kikwete kawaletea Watanzania zawadi ya matajiri wezi.
Kaja Magufuli kawatumbukiza wananchi kwenye ufukara kwa mgongo wa kuwaletea Maendeleo.
Kaja Samia kawaleta wakoloni wawinde wanyama.
Je, Tanzania ni nchi ya Wajinga?
Je, ni wananchi ndio Wajinga au viongozi ndiyo wajinga?
Leo ni miaka 62 tangu tumpoke Mwingereza Tanganyika lakini jiji kubwa la Dar es Salaam bado kuna mitaa hakuna maji safi na salama.
Leo hii barabara za kuunganisha wilaya na mikoa yake nyingi ni za vumbi.
Miaka 62 ya uhuru wananchi wenye pass za kufasiria hata milioni 2 hawafiki. Inamaana wengi wapo tu kupiga Dona na dagaa daily.
Kaja Nyerere hamna alichoacha zaidi ya mwenge.
Kaja Mwinyi kapambana kaacha mitumba.
Kaja Mkapa kapambana kawaletea tv na simu.
Kaja Kikwete kawaletea Watanzania zawadi ya matajiri wezi.
Kaja Magufuli kawatumbukiza wananchi kwenye ufukara kwa mgongo wa kuwaletea Maendeleo.
Kaja Samia kawaleta wakoloni wawinde wanyama.