Hapana. Japo unaweza kutumia os nyingine i.e. windows katika mac
it's possible google " mac os 10 on pc" sema imewezekana ile version za zamani .sema unaitaji computer yenye specs kali
Base hamna haja ya kununua mac pc
Basi hamna haja ya kulazimisha kuweka ios kwenye non apple computers coz kuna vi2 utakuwa limitedHaja ipo coz huwezi ifaidi mac os vizuri kwenye pc nyingne ambayo si ya mac kwakuwa kuna functions ambazo hazitafanya kazi kwenye pc yako