Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Habari Geeks,
Naomba kuuliza. Mfano, Mfanyakazi wa Voda akiamua kutengeneza namba na kisha kuzituma kwenye akaunti yake ya M-pesa kama muamala na baadae akatoa pesa kwa Wakala Mtaani.
Je, inaweza kuwa na athari zozote. Au ni nani atapata hasara kati ya Voda na Wakala?
Naomba kuuliza. Mfano, Mfanyakazi wa Voda akiamua kutengeneza namba na kisha kuzituma kwenye akaunti yake ya M-pesa kama muamala na baadae akatoa pesa kwa Wakala Mtaani.
Je, inaweza kuwa na athari zozote. Au ni nani atapata hasara kati ya Voda na Wakala?