WanaJF, nauliza tu swali kwa anayefahamu kwa faida ya watanzania wanaopenda kufahamu kama mimi.
Ile nyumba ya Spika iliyojenjwa Urambo Mashariki kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bmk inatumikaje?
Yaani Spika Anna Makinda anaitumia au serikali imebadilisha matumizi yake? Nauliza maana ilijengwa kwa mamilioni ya kodi ya wananchi, hivyo sio vizuri isitumike walau kwa matumizi ya serikali.
Nauliza kwani nimetafakari na kuona huyu bwana Sitta ana uzoefu kwa kufuja fedha ya umma bila huruma, ndio maana aling'ang'ania kuendelea na mkutano bmk ingawa ilikuwa dhahiri katiba bora haiwezi kupatikana.
Ona sasa siri zinaanza kuvuja za uharamia waliofanya ili akidi ya 2/3 ipatikane.
Umeona fojari iliyotumika kuhakikisha wajumbe wa Zanzibar wanatimia?
Ile nyumba ya Spika iliyojenjwa Urambo Mashariki kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bmk inatumikaje?
Yaani Spika Anna Makinda anaitumia au serikali imebadilisha matumizi yake? Nauliza maana ilijengwa kwa mamilioni ya kodi ya wananchi, hivyo sio vizuri isitumike walau kwa matumizi ya serikali.
Nauliza kwani nimetafakari na kuona huyu bwana Sitta ana uzoefu kwa kufuja fedha ya umma bila huruma, ndio maana aling'ang'ania kuendelea na mkutano bmk ingawa ilikuwa dhahiri katiba bora haiwezi kupatikana.
Ona sasa siri zinaanza kuvuja za uharamia waliofanya ili akidi ya 2/3 ipatikane.
Umeona fojari iliyotumika kuhakikisha wajumbe wa Zanzibar wanatimia?