VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 583
Hoja yako Kwamba ile ya sitta kwamba ni ya aina yake ina mashiko kabisa, swali linaweza kuwa pesa YA ziada kujenga ya kiwango kile ilitoka wApi? Au kwani nini imejengwa kwa kiwango hicho!!!
Nachopinga mimi ni huu upotoshaji kwamba ile ni nyumba ya spika wakati nyumba ya spika ipo dodoma na nikubwa sana kuliko hiyo YA urambo
Nachopinga mimi ni huu upotoshaji kwamba ile ni nyumba ya spika wakati nyumba ya spika ipo dodoma na nikubwa sana kuliko hiyo YA urambo
Ni kweli kuwa kila mbunge alijengewa ofisi jimboni lakini ile ya jimboni kwa Sitta ni habari nyingine, huwezi kuifananisha na ofisi 'vibanda' vya wabunge wa majimbo mengine.