TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Wala hawana undugu wowote zaidi ya uislamu wao, kwani Mke wa rais kwao ni Lindi wakati huyu Hawa Ghasia kwao ni Mtwara kata ya Naumbu jiji cha Imekuwa.
hilo sio tatizo watu wana ndugu mpaka marekani na wanaishi mtwara, sembuse anayeish mtwara kuwa na undugu na mtu wa lindi?