Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,224
- 128,986
Wanabodi,
Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!.
Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf,
Siku kadhaa nyuma niliwahi kupandisha humu jf thread kuhusu, CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.
Kwenye thread hiyo nikaweke picha za wafanyakazi wa benki hiyo, na kiukweli, kwa maoni yangu mimi binafsi ni kuhusu wafanyakazi wao wa kike ni "mashallah!".
Leo katika kuitembelea tuu ile thread, nikakutana na comment hii
Hebu na wewe, hebu tembelea hapa CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!. uniambie kwa ukweli wako kabisa, jee kweli kuna mikorogo hapo?!
Wadada pendaneni!.
Pasco
Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!.
Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf,
Siku kadhaa nyuma niliwahi kupandisha humu jf thread kuhusu, CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!.
Kwenye thread hiyo nikaweke picha za wafanyakazi wa benki hiyo, na kiukweli, kwa maoni yangu mimi binafsi ni kuhusu wafanyakazi wao wa kike ni "mashallah!".
Leo katika kuitembelea tuu ile thread, nikakutana na comment hii
Du !, ama kweli!, kwa nini lakini wanawake hampendani?!, yaani wewe ... unawaoneaje wivu wadada wa watu hata huwajui?!. Wadada hao wako natural wamependeza, unawasingizia mkorogo?!, that's not fair!. Au kwa vile wanafanya kazi nzuri, ofisi nzuri, wanalipwa pesa nzuri, mazingira mazuri ya kazi ni full kipupwe, saa zote wako ndani, hivyo hawaungui na jua!, hii inapelekea wengi wao kung'aa unadhani ni mkorogo?!. No way!.Maua na mikorogo, wapi na wapi?
Hebu na wewe, hebu tembelea hapa CRDB Bank -Lumumba ni "Maua" na Maua!. uniambie kwa ukweli wako kabisa, jee kweli kuna mikorogo hapo?!
Wadada pendaneni!.
Pasco