Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Mi ndo katekista. Ama waweza nitofautia kati ya uzinzi na uasherati?Duuh rudi mafundisho bwana
Mi ndo katekista. Ama waweza nitofautia kati ya uzinzi na uasherati?Duuh rudi mafundisho bwana
Unajua tofauti kati ya uzinzi na uasherati?Whaaat?Hujazinii?How?
Naona sio suala la concept, ni suala la msamiati wenyewe.Mh!Kuna ukakasi hapa,sijajua kama nimekuelewa!
So kwa mujibu wako ni kuwa,same action different label?
Teh niko counter kweli lolKwa maelezo mengine msome vizuri Erick. anapatikana counter ya juu na babu yake Asprini.
Kinacho kuchanganya ni lugha. tuongee lugha moja. Kiingereza tu, au kiswahili tu. mi nachagua kiswahili. hapa tunajadili kuzini na kusaliti. najibu swali zako sasa:@ RR,nimekuelewa kidogo,but ukiwa una mke halafu ukawa na mwanamke mwingine utakua unacheat au unazini?Je haya yanaweza kutokea kwenye action moja?Halafu umesema kua unaweza kucheat bila kuzini,kivipi?
@Erick52,maswali yako yakijibiwa tunaweza angalau kupata mwanga!
@RR
Bora umekuja, naona wengi wataelewe maana halisi ya cheating na nani anacheat.
Issue ya jana ni hii
Mimi sijaolewa ninatoka na mume wa mtu (ndiye nina commitment naye); na sina commitment na mtu mwingine yoyote zaidi ya huyo married man. Do l cheat? Najua si vizuri na bla bla zake, swali ni do l CHEAT?