Kucheat ni kudanganya/kusema uongo
Kuzini ni kufanya mapenzi nje ya ndoa
Kucheat ni kudanganya kwenye mapenzi kwa watu walio mapenzi. Kwamba kucheat kunajumuisha uzinzi na uasherati. Kuzini ni kumega nje ya NDOA. Kwa kifupi kuzini kunahusisha wanandoa wakati kucheat haijalishi wenye ndoa au wachumba au bf vs gf. Nyosha mkono juu kama hujaelewa.
We dogo bana. Unaweza kuwa na gelofrendi wako rasmi au tuseme mchumba. Ukammega mwingine si ndo umemcheat? Hapo hujazini kwakuwa hujawahi kula kiapo cha ndoa.Sijakuelewa kabisa,kuzini ni kufanya ngono nje ya mahusiano/ndoa,cheating je?
Exactely. Ndio maana wengine kama kina Faiza Foxy wanacheka mtu akisema she/he wants his/her fiancee to be faithful. Kwake yeye (na kwa dini ya kikristo na ya kiislam) so long as you are not married,if you have sex mnazini tu.
Pia mnaweza kua boyfriend and girlfriend (mnao zini au msio zini) na mkawa faithful au unfaithful. hapo ndipo suala la kucheat linakuja.
Thread klozd.@Russian....
Ni kweli kabisa...
Elyer ajue kifupi kuwa cheating ni kwa walio nje ya ndoa na walio ndani ya ndoa wanazini
Na kuzini kunajumuisha kucheat...
So where is your point here?
We dogo bana. Unaweza kuwa na gelofrendi wako rasmi au tuseme mchumba. Ukammega mwingine si ndo umemcheat? Hapo hujazini kwakuwa hujawahi kula kiapo cha ndoa.
Umeelewa sasa?