Swali Fyatu: Yaani mmesahau yote yale mnawalilia vijana hawa?

Nayaheshimu mawazo yako. Yaani, kuwaondoa watendaji ambao anaamini hawatekelezi sawa majukumu aliyowapa ni kuwadhalilisha? Labda sijakuelewa hapo. Au unazungumzia kusema sababu za kwanini amewaondoa ndio unachozungumzia?
MM usitifanye mazuzu bhana!! Anyway, si umezungumzia vijana watatu?! Bila shaka unamaanisha (1) Nape Nnauye, (2) January Makamba, na (3) Zitto.

Haya ndugu MM. ambae sina shaka hata kidogo kwa jinsi ulivyo nguli wa uchambuzi wa kisiasa, naomba unichambulie kwa weledi ni namna gani hao vijana walishindwa kutekeleza majukumu yao hadi wewe uungane na JPM, na kumpa kongole!!

ANGALIZO: Uisruke ruke kwa kusema "JPM kama JPM anaamini hawatekelezi sawa majukumu yao..." Usilete hiyo hoja kwa sababu, wakati JPM anaamini hivyo, nawe unakubaliana na hizo imani yake!

FUNGUKA!!!
 
Sielewi kama ni usahaulifu, Kujali kuliko pitiliza au yakeyale. Kweli Kuna mtu yeyote kutoka upinzani au mwenye Kujali demokrasia, Uhuru wa maoni, mawazo na kujieleza anasikitika kwa Vijana watatu hawa kuondolewa serikalini? Au ni ile chuki dhidi ya Magufuli imewatoa kumbukumbu na ufahamu?
Kwa wapinzani na wafuasi wao shida ni Magufuli tu ndio maana hawa vijana wanapata uungwaji mkono kiaina.
 
Kwa wapinzani na wafuasi wao shida ni Magufuli tu ndio maana hawa vijana wanapata uungwaji mkono kiaina.
Musiba ongeza nyama kuni zipo za kutosha
FB_IMG_1563969418216.jpeg
IMG-20190722-WA0001.jpeg
 
Ndio hapo utajua wafuasi wa vyama vya upinzani Tz ni wa hovyo kupitiliza, yule yule aliezima Bunge live leo anaonewa huruma na wapinzani kwa kukosa uwazili, kisa hapatani na Magu,yule yule aliyeleta sheria ya mitandaoni wapinzani wakalia lia kumbe walikuwa wanafki leo eti wanamtetea yule yule aliyefurushwa awaziri eti kaonewa, pamoja na kumtuhumu ya kwamba ndiye aliyefunga goli la mkono leo wanamhurumia kupoteza uwaziri. Upinzani wa awamu hii ni wahovyo haijawahi kutokea.Ndio maana mm nasema nimfuasi sugu wa Magu na Musiba.
Ujazo wa akili yako na wenzio wa hivi kufikiri ni sawa na kikombe cha chai
Hivi kuna ubaya gani maadui zako wakiparuana na mmoja kati ya hao maadau akawa anamdhoofisha mwenzake huoni kwamba anakusaidia kufikia malengo? Unamjaza upepo anakuwa kama chambo akikufanikishia jambo unatupa kule
 
Kwa wapinzani na wafuasi wao shida ni Magufuli tu ndio maana hawa vijana wanapata uungwaji mkono kiaina.
Hujui kitu wewe na huyo mzee njaa ko unataka wawakandamize wakati kwa fitina zao kwa mkubwa ni kusaidia kumuondoa adui mkuu? Hawa wote walikuwa wanafanikisha matakwa ya mkuu ko wakimfitini ni afya kwa upinzani na wakiondolewa ni msiba kwa upinzani hadi upate watu wengine wa kushirikiana kufanikisha mission sio leo unakuwa umeshaumia,huoni kwamba walikuwa wanavujisha siri au unaropoka tu
 
Hujui kitu wewe na huyo mzee njaa ko unataka wawakandamize wakati kwa fitina zao kwa mkubwa ni kusaidia kumuondoa adui mkuu? Hawa wote walikuwa wanafanikisha matakwa ya mkuu ko wakimfitini ni afya kwa upinzani na wakiondolewa ni msiba kwa upinzani hadi upate watu wengine wa kushirikiana kufanikisha mission sio leo unakuwa umeshaumia,huoni kwamba walikuwa wanavujisha siri au unaropoka tu
Sawa wewe ndiye unajua.
 
Binadamu yoyote akifikwa na baya kusikitika hapana budi...

Usilipize baya kwa baya... lipiza baya kwa jema...


Cc: mahondaw
 
Mbona wewe na Dr slaa mliungana na ccm mwaka 2015 na mnaogoza zowezi la kuwaambia watanzania katiba mpya sio kipaumbele Cha watanzania?
 
Sielewi kama ni usahaulifu, Kujali kuliko pitiliza au yakeyale. Kweli Kuna mtu yeyote kutoka upinzani au mwenye Kujali demokrasia, Uhuru wa maoni, mawazo na kujieleza anasikitika kwa Vijana watatu hawa kuondolewa serikalini? Au ni ile chuki dhidi ya Magufuli imewatoa kumbukumbu na ufahamu?

Labda hao waliondolewa walikuwa afadhali kuliko waliobaki!
 
Hii Nchi imejaa wanafiki, ukitaka kuliona hilo angalia leo kila uzi kumhusu Musiba unafutwa kisa ameguswa mwenye Jukwaa.
Dah, nashangaa sana, Melo katajwa kwenye kashfa kubwa na musiba, ila sioni zikiongelewa huku.
 
Sielewi kama ni usahaulifu, Kujali kuliko pitiliza au yakeyale. Kweli Kuna mtu yeyote kutoka upinzani au mwenye Kujali demokrasia, Uhuru wa maoni, mawazo na kujieleza anasikitika kwa Vijana watatu hawa kuondolewa serikalini? Au ni ile chuki dhidi ya Magufuli imewatoa kumbukumbu na ufahamu?
Hata mimi ninashangazwa sana na huu ukigeugeu wa wapinzani wetu.

Hawa 'waathirika' wana mchango mkubwa sana wa kutufikisha hapa tulipo, iweje leo hii tuanze kuwahurumia na kuwaona kama wenzetu ilhali wao hawaamini kuwa sisi ni wenzao?

Ni yale yale ya Lowasa kuonekana msafi na muadilifu punde tu alipohamia upinzani.
 
Sielewi kama ni usahaulifu, Kujali kuliko pitiliza au yakeyale. Kweli Kuna mtu yeyote kutoka upinzani au mwenye Kujali demokrasia, Uhuru wa maoni, mawazo na kujieleza anasikitika kwa Vijana watatu hawa kuondolewa serikalini? Au ni ile chuki dhidi ya Magufuli imewatoa kumbukumbu na ufahamu?

Labda mimi nikuulize wewe, eti Mzee Mwanakijiji Umesahau yote haya kwa machache:-
1. Mv bagamoyo?
2. Uuzaji wa Nyumba za serekali? ( hasa la kuuzia mahawara na ndugu wasio kuwa wafanya kaiz wa serekali?)
3. Bara zilizo na kiwango tofauti na Mikataba( Mfano CAG aliibua barbara zilizop[unguza upana kwa sentimita chache ambazo ukijumlisha unapata mamia ya kilomita)
4. Malipo hewa ya madeni hewa ya barabara?


By the way vipi haya ya sasa?
1. Ripoti za CAG ?
2. Buneg Gizani?
3. DEmokrasia chali?
4. sheria za mitandao?
5. deni lataifa?
6. Tume ya madili isiyo fanya kazi na kuacha wateule wakijifanyia mambo ya aibu huku aliyewateua akibariki ?
7 mauaji na utekaji ?
 
Back
Top Bottom