SWALI FIKIRISHI

SWALI FIKIRISHI

warthog gun

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
1,464
Reaction score
1,260
Wana nzengo naomba kujuzwa hivi eneo alipotekewa na alipopatikana MO je kuna pagala ama msitu mnene Kiasi cha kuweza kujificha wao watekaji "pamoja" na hiyo gari Kiasi cha kuwafanya wasionekane kwa siku zote 9?

Maana nijuavyo kama ni hotelini gari ingeonekana, na kama MO alihifadhiwa hotelini, Kila siku lazima chumba kifanyiwe usafi hata kama utakaa wiki au zaidi, au je kuna hotel zenye mahandaki?

Maana siro anasema watekaji sio watanzania kwa maana hio ingekua rahisi kwa namna yoyote ile kukamatwa.

Jamani maswali ni mengi lakin majibu machache, nawasilisha.
 
ngoja waje wanaojua maana wengine tunaishi mikoani
 
Mimi nauliza tu, siku ametekwa aliacha kiatu kimoja, je siku ya kupatikana alivaa viatu vyote,na vipi mavazi kwa waliobahatika kumuona
 
Mimi nauliza tu, siku ametekwa aliacha kiatu kimoja, je siku ya kupatikana alivaa viatu vyote,na vipi mavazi kwa waliobahatika kumuona
Ndo maana nimesema maswali ni mengi
 
Niliwaza sasa kama waliomteka ndio wamemwachia hivyo walishidwa nini kushirikiana na polisi ili walambe bilioni moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom