Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Wawili hao: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?