britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,177
- 41,623
Ni swali tu Naomba majibu kwa wale wanaojua sana
Ikatokea chama kimoja kilichozoea vya kupewa na chama kingine, kikapata kiongozi shupavu sana , aliyeshindwa akasusa akavunga yuko likizo, akatuma mamluki wa chama ndani ya upande mmoja wa Muungano kwamba walalamike kuwa rasilimali hazigawanywi sawa, msajili akatoa maagizo kwamba ili tuungane na huyu mwenzetu ndani ya Chaka hiki, tuwakomoe tusimamishe shughuli zao kwa siku kadhaa ,
Halafu mahakama siku zikaisha inasema walipwe au wachukue Mali yeyote ilotokana ka ruzuku, je Jengo la Makao makuu linaweza fidia?
Swali la Pili la nyongeza, Je nyomi ya upande wa Pili baada ya kulipata Jengo hilo nayo ikaunga mkono walio hama? halafu mstaafu akavutwa taratiibu akarejea siasani kwa mgongo wa kwamba kaombwa tukashibe wali pamoja na akakalia jengo lile lileee
Britanicca
Ikatokea chama kimoja kilichozoea vya kupewa na chama kingine, kikapata kiongozi shupavu sana , aliyeshindwa akasusa akavunga yuko likizo, akatuma mamluki wa chama ndani ya upande mmoja wa Muungano kwamba walalamike kuwa rasilimali hazigawanywi sawa, msajili akatoa maagizo kwamba ili tuungane na huyu mwenzetu ndani ya Chaka hiki, tuwakomoe tusimamishe shughuli zao kwa siku kadhaa ,
Halafu mahakama siku zikaisha inasema walipwe au wachukue Mali yeyote ilotokana ka ruzuku, je Jengo la Makao makuu linaweza fidia?
Swali la Pili la nyongeza, Je nyomi ya upande wa Pili baada ya kulipata Jengo hilo nayo ikaunga mkono walio hama? halafu mstaafu akavutwa taratiibu akarejea siasani kwa mgongo wa kwamba kaombwa tukashibe wali pamoja na akakalia jengo lile lileee
Britanicca