Swali eti huyu anamaana gani?

Swali eti huyu anamaana gani?

Nilichogundua akili za katoto kazuri ni sawa na akili za katoto kadhuri![emoji28][emoji28][emoji28]
 
Una stress sana...

Punguza stress uandike vizuri
 
dada una muandiko mbaya wewe au ulikua unaandika huku unafukuzwa
 
Dah jamii forum inazama, maswali ya Facebook yametawala kwa kasi
 
Mtu na mpenzi.wake wameweka tego muda si mrefu tutapata majibu.
 
Rafiki yake eti kapata mchumba bada ya mda anaanza kutukanwa na mwanamke aachane na mumewe ndio kisa hiko sasa huo uchumba wao walishatambulishana pande zote mbili au wa juu juu
Yaani ukiwa mtu huo ni uchumba hata kama hamjatambulishana so baada ya raha zote hizo anakuwa anatukanwa na mtu akipiga simu haipokelewi ila sasa kaamua kumtema nakukaa kimya ila yule dada anatumia namba nyingine kumtukana halafu haongei kitu ni message anaandika
 
Ww wanawake wenzio watakuja
Kukuulia gest
 
walipendana sana na wameonana usidhani hawaonani

Mkui vipi lakini kwema huko??
 
Itakuwa maana kama ni mwanamke angeongea naangepokea simu asingeogopa kuongea
Na angekuwa mwanamke kweli angepokea na kutoa mashudu ya maana

Ila huyo jamaa mwenyewe kashakula papuchi kaona hataki tena akaamua kuleta haya maigizo ili mdada wa watu akate tamaa.
 
Huwezi kushindana......
In goodluck gozbert's voice.
[emoji444] [emoji441] [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom