Nimevumilia sana; NIMESHINDWA-- nioneni tu mbeya lakini tuhuma mzito kama hizi, sina budi kumuita Kaka Pasco! Kaka Pasco, inasemekana huna lolote wewe Msukuma fake mtoto wa Kizaramo:
Kwahiyo ni kwamba hapo juu aache kujiita Chapa Ng'ombe sio wakati hata akitaka kunywa mtindi sharti aujaze sukari, au!Kwanza Wasukuma hawana makabila madogo madogo...huo ni uongo wako tu kwanza utakua msukuma wa Dar wewe...!
Duh! Hilo darsa hapo juu ni tosha kabisa kumfanya mtu ajitathmini na kutafakari ikiwa kweli nae ni Chapa Ng'ombe au ni Chapa Kiepe Yai tu kama sie wengine!!Wazinza wako Uzinza na si wasukuma na wakerewe wako Ukerewe na si Wasukuma na hawaongei kisukuma ila wamemezwa tu na kabila kubwa.Hakuna kinyantunzu usukumani ila kuna kisukuma cha lafudhi ya watu wanaotoka Bariadi (na Kinyantuzu inatokana na tarafa ya Tunzu)
Basi tutakuwa tunatandika nao urojo huku Uswahilini!Wasukuma wa Mwanza ni sawa na Wanyamwezi tu
What did you just say? SHANGA?! This's serious ACCUSATION against... oh shit! How dare you?! Watch your fingers while typing young man! You mean Pasco possibly nae ni mvaa... (shit! Got no gut to complete the sentence)! Lakini acha kutisha watu bhana, hata Wamasai nao wanavaa shanga... au nao ni Wamasai wa Chalinze na Bagamoyo... nyama sharti kwa nazi!!Wasukuma halisi wanatoka bariadi na sehemu za Busega ukijumuisha na Bunda yaani wale amabo wako karibu na Mbuga...Lakini hawa wengine kazi yako ni kuvaa shanga tu