sio diamond pekee,hata waziri mwenyew wa fedha ni wa hukohuko.Hawa jamaa toka kigoma akina Domo-Diamond,Na wengine wengi wanajiita kigoma all stars wanaimba mkoa wao kwenye mziki lakini moyoni hawataki kuskia kabisa.
Wachagga na wameru hawajawi imba kuhusu mikoa yao lakini mchaga/meru akipata anaanza na kwao!