Swali: CHADEMA Ifanye Nini Kuwadhibiti kina Shibuda Wapya?

Wewe ni kati ya watu ninaowaheshimu kwa michango yao hapa JF, Hivyo ninatarajia mtu kama wewe kusoma na kuelewa ni kitu gani mtu alichokiandika na anamaanisha nini..Tujifunze kuangalia mambo kwa mapana si kwa maono finyu, tusifungwe na mfn wa Dr.Slaa tukaacha mfn wa Shibuda na kwa mtu kama wewe nategemea kuangalia pande zote mbili na kuja na hoja mhafaka.

By the way kadi mbili au tatu si hoja,kadi haiyashirii mapenzi yako kwa chama, kadi ni karatasi tu, kinachoashiria mapenzi yako kwa chama ni matendo yako, kufuata itikadi za chama chako na nk.

Sasa nikuulize swali kwa matendo na mienendo ya Dr. Slaa je ni CCM au ni Chadema? na kwa matendo na mienendo ya Shibuda (kabla hajaama) alikuwa ni CCM au ni Chadema?
Mkuu Dada yangu , kwanza pole, maana mimi ni mzoefu humu hivyo najua jinsi waabudu wanavyoumia kila waabudiwa wanapokosolewa humu jf, haswa kwa kuzingatia baadhi ya waabudiwa wanahesabiwa kuwa wao ni malaika!, hivyo ukiyaleta tuu madudu yao humu, waumini wao huumia sana!.

Niliisha wahi sema humu, Shibuda was just a barking dog, seldom bite!, hizo kelele zake ni harmless kwa Chadema kuliko silent killers walio inside Chadema, nyinyi mkiwadhania ndio wazalendo wa kweli!. Ingekuwa system wanatoa majina ya walio katika payroll yao, kuna watu humu wasingelikuwa na mahali pa kuzificha sura zao.

Kwa taarifa yako, huu uchaguzi wa 2015, wengi mnauzungumzia leo, mimi nimeuzungumzia tangu 2010!, na mwaka 2011, nilikutana na Dr. Slaa mahali just by chance tuu, akiwa na 'would be 1st lady!', na tulizungumzia kwa kina ugombea wake 2015, ila kwa vile ni informal talk, siwezi kuweka hapa contents za mazungumzo hayo, ila najua mengi kuhusu viongozi wenu kuliko hata baadhi yenu mnavyojua!.

Uzalendo wa kweli haupimwi kwa maneno wala matendo bali dhamira!.

Pasco
 
Mkuu Dada yangu , kwanza pole, maana mimi ni mzoefu humu hivyo najua jinsi waabudu wanavyoumia kila waabudiwa wanapokosolewa humu jf, haswa kwa kuzingatia baadhi ya waabudiwa wanahesabiwa kuwa wao ni malaika!, hivyo ukiyaleta tuu madudu yao humu, waumini wao huumia sana!.

Niliisha wahi sema humu, Shibuda was just a barking dog, seldom bite!, hizo kelele zake ni harmless kwa Chadema kuliko silent killers walio inside Chadema, nyinyi mkiwadhania ndio wazalendo wa kweli!. Ingekuwa system wanatoa majina ya walio katika payroll yao, kuna watu humu wasingelikuwa na mahali pa kuzificha sura zao.

Kwa taarifa yako, huu uchaguzi wa 2015, wengi mnauzungumzia leo, mimi nimeuzungumzia tangu 2010!, na mwaka 2011, nilikutana na Dr. Slaa mahali just by chance tuu, akiwa na 'would be 1st lady!', na tulizungumzia kwa kina ugombea wake 2015, ila kwa vile ni informal talk, siwezi kuweka hapa contents za mazungumzo hayo, ila najua mengi kuhusu viongozi wenu kuliko hata baadhi yenu mnavyojua!.

Uzalendo wa kweli haupimwi kwa maneno wala matendo bali dhamira!.

Pasco

Nimekuuliza hivi matendo/meinendo au hata na dhamira ya Dr. Slaa (kama unahifahamu) ni kiCCM au ni ya Kichadema?

Na je matendo/meinendo ya Shibuda ni ya kichadema au kiccm? Ukishapata jibu ndio utaona kuwa muhimu si kadi maana kadi ni karatasi tu muhimu ni matendo, ufuasi wako wa sera za chama na nk..

Hayo mengine uliyoandika hata sijui umeyatoa wapi maana hayajibu maswali yangu hapo juu.. Kma ulikutana na Dr. Slaa au hakukutana naye hilo kwangu halina umuhimu na wala sioni uhusiano wa nilichoandika na jibu lako hapo juu.

Hapo kwenye nyekundu naomba ufafanuzi wako..
Unawezaje kupima dhamira bila matendo??
 
Nimekuuliza hivi matendo/meinendo au hata na dhamira ya Dr. Slaa (kama unahifahamu) ni kiCCM au ni ya Kichadema?

Na je matendo/meinendo ya Shibuda ni ya kichadema au kiccm? Ukishapata jibu ndio utaona kuwa muhimu si kadi maana kadi ni karatasi tu muhimu ni matendo, ufuasi wako wa sera za chama na nk..

Hayo mengine uliyoandika hata sijui umeyatoa wapi maana hayajibu maswali yangu hapo juu.. Kma ulikutana na Dr. Slaa au hakukutana naye hilo kwangu halina umuhimu na wala sioni uhusiano wa nilichoandika na jibu lako hapo juu.

Hapo kwenye nyekundu naomba ufafanuzi wako..
Unawezaje kupima dhamira bila matendo??
Mkuu Dada yangu Alinda, nilipokujibu, nilidhani wewe ni deep thinker and you can read in between the lines!. Hayo mengine yote yanatoa clue ya majibu ya maswali yako ili wewe ujijibu mwenyewe!.

Nasisitiza Uzalendo wa kweli haupimwi kwa maneno wala matendo bali dhamira!.

Uzalendo wa kweli ni kama wokovu, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!, ndani ya hiyo neema ndiko dhamira ilikolalia!.

Nakuomba hili suala tuishie hapa ili nisivuke mipaka kwa kwenda too deep, naombe itoshe!.

Pasco


 
Mkuu Dada yangu Alinda, nilipokujibu, nilidhani wewe ni deep thinker and you can read in between the lines!. Hayo mengine yote yanatoa clue ya majibu ya maswali yako ili wewe ujijibu mwenyewe!.

Sio kila great thinker anaona kile uonacho au anaelewa vile uelewavyo wewe na ndo maana niliomba majibu kwa maswali yangu... tuko hapa kuelimishana si kupimana nani great thinker nani sio... Na ndio dhamira ya JF...


Nasisitiza Uzalendo wa kweli haupimwi kwa maneno wala matendo bali dhamira!.

Uzalendo wa kweli ni kama wokovu, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo!, ndani ya hiyo neema ndiko dhamira ilikolalia!.

Nakuomba hili suala tuishie hapa ili nisivuke mipaka kwa kwenda too deep, naombe itoshe!

Pasco




Ni kweli bora tuishie hapa maana mambo ya wokovu na neema??? dhamira na matendo?? "naona tuko katika ulimwengu tofauti...

Pamoja na hayo asante kwa mchango wako...
 
Sio kila great thinker anaona kile uonacho au anaelewa vile uelewavyo wewe na ndo maana niliomba majibu kwa maswali yangu... tuko hapa kuelimishana si kupimana nani great thinker nani sio... Na ndio dhamira ya JF...
Ni kweli bora tuishie hapa maana mambo ya wokovu na neema??? dhamira na matendo?? "naona tuko katika ulimwengu tofauti...

Pamoja na hayo asante kwa mchango wako...
Asante Mkuu Dada yangu Alinda, I know ur GT, na naamini ulielewa nasema nini ila basi tuu!, haya ndiyo yale niliyoyasema ya miungu watu, waabudu na waabudiwa wao!.

Asante.

Pasco
 
Kuna wapenzi wa aina mbili wa Chadema, wale wanaoipenda mno hadi kuwa blind folded na mapenzi yao kwa Chadema hadi kushindwa kuiambia ukweli, matokeo yake ni kukesha wakiisifia kwa nyimbo za shangwe na mapambio as if Chadema ni malaika fulani!, na kuna akina sisi ambao sio wanachama, lakini tungependa kuona nchi hii inapata upinzani imara, na tegemeo pekee la upinzani imara so far limeonyeshwa na Chadema, lakini Chadema ina matatizo na madudu kibao, kiasi kwamba watu makini thanks God kuwa Chadema haukushinda ile 2010, ingekuwa disastrous!, na kama Chadema haitakubali kubadilika, hata hii 2015 it is still a disaster!, I would rather not spare the rod and spoil the child, I'll keep whipping until huyu mtoto anyooke!.

the central point is Chadema sio chama makini!, hakina any system ya vetting!, ni zoa zoa tuu!.
Chadema haina any succession plan ya kutayarisha viongozi wake, yenyewe ni zoa zoa tuu kula anayetemwa CCM au kujitoa, anapokelewa kama mfalme na kupewa cheo!, ili kujenga Chadema imara, chadema pia lazima kiwe na internal mechanisim yake ya kufanya verting kwa viongozi wake, vinginevyo inaweza kujikuta ina mapandikizi, hadi ndani ya CC yake, hivyo kila wanachopanga, kinafika kwa wapinzani wao kabla hakijatekelezwa.

Pia ili kupata a dedicated team ya viongozi imara, Chadema ianzishe mfumo wa succession plan, kutatarisha viongozi wa kesho by headhunting recruitment of committed leaders, iwafanyie grooming, iwapike, waive, ndipo ije iwape uongozi, mfano sasa hapo ilipo, tayari Freeman Mbowe ameisha overstay as Chairman, usikute hakuna mpango wowote wa kumuandaa nani atapokea uenyekiti, something which is not good at all sustainability ya chama chochote sustainable, akiondoka Mbowe, whos next?!.


Chadema kama chama, mwanzo kilianza chama kama chama cha harakati, au movement ya ukombozi, hivyo kiliendeshwa kijeshi jeshi, that was fine at an early stages, baada ya ku gain momentum, kilipaswa kujitransform kutoka chama cha ki harakati kugeuka chama kinachojiandaa kutawala!, hizo transformation zilipaswa kuanzia ndani, ikiwemo kuwa na political tollerence kwa differing political views and opinions ikiwemo managing divesity ya differing political stands.

Mpaka leo ninapoandika, nikiukumbuka ule 'waraka wa mabadiliko', ambao lengo lake lilikuwa ni kuunda a 'winning coalition' kupata viongozi bora kwenye uchaguzi wa kidemokrasia ndani chama, ambao wataweza kuiingiza Chadema Ikulu, lakini waraka ule ukageuzwa ni uhaini wa kutaka kufanya mapinduzi!, waraka ule pamoja na kubezwa kote, pia ulikuwa na hoja za msingi ambazo chama chochote makini, kingepaswa kuzifanyia kazi, lakini Chadema baada ya kuyazima hayo yaliyodaiwa ni mapinduzi, kikauzika jumla waraka ule!, hivyo kitakachoinyima Chadema ushindi na kuishindwa kuingia ikulu 2015 ni jinamizi la waraka ule!.

Mpaka sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, bado kuna baadhi ya maswali kwa Chadema sijawahi kupata majibu yake, na moja ya maswali hayo ni hili.

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari ya ....
Paskali

Hapa najikumbusha tuu nilisema nini kuhusu Chadema katika bandiko hili, hivyo nikilinganisha ni hiki kilichotokea sasa kwa Mwenyekiti wa Bavicha kuhamia CCM!.

Paskali
 
Chadema ni zoa zoa tu Mkuu kwa kiasi fulani nakubalian nawe. Je, una maoni gani kuhusu huyu ambaye kwa maneno yake mwenyewe alisukumizwa Ikulu. Angekuwa ni mtu aliyeandaliwa KAMWE asingetia kauli kama ile kwamba ALISUKIMIZIWA Ikulu. Hata walio ndani ya CCM kwa miaka zaidi ya 20 kumbe hawakutayarishwa kushika dola bali wanasukumizwa tu na labda matokeo yake ndiyo wote wanaishia kuwa mafisadi wasio na vision ya muda mfupi na muda mrefu ya kuongoza nchi matokeo yake wanaiacha nchi katika hali mbaya huku wenyewe wakijilimbikizia mali kwa njia halali (mishahara mikubwa waliyojipangia kama marais tena bila kukatwa kodi Mkapa, Kikwete na Magufuli mshahara kwa mwaka ni milioni 400 bila kodi piga hesabu kwa miaka mitano au 10....bilioni 2 au 4 bila kodi!!!) na nia haramu za ufisadi wa aina mbali mbali. Kama CCM nao wangefanya vetting basi nina hakika huyu uchwara leo asingekuwa Ikulu au hata kama wangeamua kumsikiliza Mama janeth Magufuli lakini wakaamua KUMSUKUMIZIA IKULU TU!

Maandiko yako haya hapa chini Mkuu:
Chadema haina any succession plan ya kutayarisha viongozi wake, yenyewe ni zoa zoa tuu kula anayetemwa CCM au kujitoa, anapokelewa kama mfalme na kupewa cheo!, ili kujenga Chadema imara, chadema pia lazima kiwe na internal mechanisim yake ya kufanya verting kwa viongozi wake, vinginevyo inaweza kujikuta ina mapandikizi, hadi ndani ya CC yake, hivyo kila wanachopanga, kinafika kwa wapinzani wao kabla hakijatekelezwa.

Hapa najikumbusha tuu nilisema nini kuhusu Chadema katika bandiko hili, hivyo nikilinganisha ni hiki kilichotokea sasa kwa Mwenyekiti wa Bavicha kuhamia CCM!.

Paskali
 
Every one ni Shibuda ndani ya Chadema. Democracy not yet in Tanzania kwasababu hakuna chama wala viongozi wa upinzani wapo serious kupambana na CCM chama chenye experience ya miaka 50 katika utawala.
Bila kuwa na chama kimoja tu cha upinzani na kinafuata misingi ya Demokrasia itakuwa vigumu kuiondoa CCM. Rais Magufuli kwa sehemu kubwa anatekeleza ilani ya uchaguzi wa Ukawa wa mwaka 2015 na Chadema kama kikuu cha upinzani hakina well organised manifesto kuelekea uchaguzi wa 2020. Tegemeo kubwa la Chadema ni kutokea mpasuko ndani ya CCM na ni jambo linalokuwa ndoto kwasasa.
 
Kuna wapenzi wa aina mbili wa Chadema, wale wanaoipenda mno hadi kuwa blind folded na mapenzi yao kwa Chadema hadi kushindwa kuiambia ukweli, matokeo yake ni kukesha wakiisifia kwa nyimbo za shangwe na mapambio as if Chadema ni malaika fulani!, na kuna akina sisi ambao sio wanachama, lakini tungependa kuona nchi hii inapata upinzani imara, na tegemeo pekee la upinzani imara so far limeonyeshwa na Chadema, lakini Chadema ina matatizo na madudu kibao, kiasi kwamba watu makini thanks God kuwa Chadema haukushinda ile 2010, ingekuwa disastrous!, na kama Chadema haitakubali kubadilika, hata hii 2015 it is still a disaster!, I would rather not spare the rod and spoil the child, I'll keep whipping until huyu mtoto anyooke!.

Tatizo kubwa la Chadema ni bulliying!, udikiteta na umungu mtu kwa baadhi ya viongozi wake!. Imefikia kiwango watu wanawaabudia, wakisema kitu, statement zao zinachukuliwa kama ndio kauli ya Mungu!. Shibuda amelishindwa hili, ila hata kabla hajajinga Chadema, Shibuda siku nyingi aliishajulikana ni mtu wa aina gani, hivyo alipojiunga Chadema there no excuse kuwa Chadema hawakujua, na nadhani ndio maana walimtolarate hadi kumaliza nae salama na kumwacha ajiondokee kwa amani!.

Kwa wengine msiomfahamu Shibuda, mnaweza kumsoma humu.

Shibuda apania kugombea dhidi ya JK CCM, ajitoa ghafla
Mimi nilisema hivi ila pia nimewawekea comments za wengine walisema nini kumhusu mtu huyu, hivyo alipojiunga Chadema, naamini hakuna kitu ambacho Chadema hawakujua ndio maana iliwabidi wamvumilie tuu!.
[ ]
Hivyo hakuna jipya kumhusu Shibuda, the central point is Chadema sio chama makini!, hakina any system ya vetting!, ni zoa zoa tuu!.
Chadema haina any succession plan ya kutayarisha viongozi wake, yenyewe ni zoa zoa tuu kula anayetemwa CCM au kujitoa, anapokelewa kama mfalme na kupewa cheo!, ili kujenga Chadema imara, chadema pia lazima kiwe na internal mechanisim yake ya kufanya verting kwa viongozi wake, vinginevyo inaweza kujikuta ina mapandikizi, hadi ndani ya CC yake, hivyo kila wanachopanga, kinafika kwa wapinzani wao kabla hakijatekelezwa.

Pia ili kupata a dedicated team ya viongozi imara, Chadema ianzishe mfumo wa succession plan, kutatarisha viongozi wa kesho by headhunting recruitment of committed leaders, iwafanyie grooming, iwapike, waive, ndipo ije iwape uongozi, mfano sasa hapo ilipo, tayari Freeman Mbowe ameisha overstay as Chairman, usikute hakuna mpango wowote wa kumuandaa nani atapokea uenyekiti, something which is not good at all sustainability ya chama chochote sustainable, akiondoka Mbowe, whos next?!.
Chadema kama chama, mwanzo kilianza chama kama chama cha harakati, au movement ya ukombozi, hivyo kiliendeshwa kijeshi jeshi, that was fine at an early stages, baada ya ku gain momentum, kilipaswa kujitransform kutoka chama cha ki harakati kugeuka chama kinachojiandaa kutawala!, hizo transformation zilipaswa kuanzia ndani, ikiwemo kuwa na political tollerence kwa differing political views and opinions ikiwemo managing divesity ya differing political stands.

Chadema kinahitaji wafuasi wa kikondoo, ambao wako tayari kuwa bull dossed kwa kuswagwa tuu kwa kila viongozi wakuu wanachotaka, ukitofautiana kidogo na stand ya viongozi wakuu kwenye issues, you are gone!, wewe ni msaliti!. Kosa kubwa la Shibuda ni kutaka kumaitain his independece ndani ya jela ya Chadema yenye udikteta wa hali ya juu!.

Mpaka leo ninapoandika, nikiukumbuka ule 'waraka wa mabadiliko', ambao lengo lake lilikuwa ni kuunda a 'winning coalition' kupata viongozi bora kwenye uchaguzi wa kidemokrasia ndani chama, ukageuzwa ni uhaini wa kutaka kufanya mapinduzi!, waraka ule pamoja na kubezwa kote, pia ulikuwa na hoja za msingi ambazo chama chochote makini, kingepaswa kuzifanyia kazi, lakini Chadema baada ya kuyazima hayo yaliyodaiwa ni mapinduzi, kikauzika jumla waraka ule!, hivyo kitakachoinyima Chadema ushindi na kuishindwa kuingia ikulu 2015 ni jinamizi la waraka ule!.

Mpaka sasa tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, bado kuna baadhi ya maswali kwa Chadema sijawahi kupata majibu yake, na moja ya maswali hayo ni hili.

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari ya ....


Pasco
Huyu Mhe. Shibuda hata wilayani havuki nadhani hata ubunge ndio bye bye, "huyu ni boya tuu kwenye maji linaelea, au ubua, unapulizwa tuu na upepo unaanguka, au kama ni mti, basi ni mpapai, tena mpapai dume, haufai kwa kivuli, kwa kuni na tena wala hauzai matunda"
Nimesoma mahali eti Chadema Wanafanya mazungumzo na huyu mtu! Tetesi: - John Shibuda mgombea Urais Chadema 2025

Kiukweli kama hii ni kweli, then kuna watu sio tuu ni too blind to see bali ni vipofu kabisa!. Yaani dude ni boya kabisa linaelea juu ya maji, wao wanalichukua na kutaka kulifanya nanga!.
P
 
Back
Top Bottom