UDOM
Member
- Dec 27, 2010
- 28
- 0
Good question!
Tusubiri wenye chama watasemaje, tatizo la zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama!
kwa kebehi za kisiasa tunasema; mapinduzi yaliyofanyika ni kumtoa mkoloni mweupe na wao KUTAWALA kama wakoloni weusi....mapinduzi mengine ni kundoa mfumo wa vyama vingi uliokuwepo tangu 1961 na kuleta mfumo wa chama kimoja......
Aya hebu tusubiri matusi na kejeli
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-
1. Kuna demokrasia gani chadema kwani wanawake viti maalumu wanachaguliwa kwa formula aliyo iandaa dr Kitila,Zitto alipogombea Uenyekiti wa Chama ikabidi Mtei na Wazee wengine wakatishia kumvulia nguo!
2. Maendeleo yepi kama Chama kinajiita kikubwa kwa Upinzani kina ruhusu wabunge wake wachukue milion 90 wakati wakijua maisha ya mtanzania yako hoi!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-
1. Kuna demokrasia gani chadema kwani wanawake viti maalumu wanachaguliwa kwa formula aliyo iandaa dr Kitila,Zitto alipogombea Uenyekiti wa Chama ikabidi Mtei na Wazee wengine wakatishia kumvulia nguo!
2. Maendeleo yepi kama Chama kinajiita kitikubwa kwa Upinzani kina ruhusu wabunge wake wachukue milion 90 wakati wakijua maisha ya mtanzania yako hoi!
swali ni nini maana ya CCM? mapinduzi ya nini? unachosema Zitto, Kitila si wako chadema?
Kwa hali ya kisiasa Tanzania ya leo, inabidi uwe mwendawazimu kujaribu kuelezea haya mambo ya sisiemu.
Hayo mapinduzi yalikuwepo wakati ule na wazee wenzangu tuliocheza HALAIKI na CHIPUKIZI watakubaliana nami.
bado wana jamvi mimi kama mwanaharakti na kufikilia baada ya mwalimu kuhakikisha kua nchi na kisiwa vianungana na kwa kua katika article of union kulikua na makosa kwanza kuungana kwa vyama kulikuja ili kupata sehemu moja ya kushika ila upande wa pili walitaka heshima yao isife hivyo wazee ili kuitiliza zanzibar wakaamua histpria isifutike ya mapinduzi na hivyo kuamua kua chama kitakacho undwa lazima kiwe na neno hilo kama moja ya masharti ya muungano na kwa kua mwalimu alitaka alilazimika kuwakubalia ila hakuna zaidi ya kukubali maombi ya zanzibar rejea kitabu cha kwa heri ukoloni na kwa heri uhuru na baada ya hapo nini kilitokea kabla ya muungano na kwa nini mwalimu alisafili usiku baada ya kua amemtuma AG na mkataba uko kwa kizungu wakati karume hakujua lugha hiyo na hata mwanasheriia wake hakuingia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-
1. Kuna demokrasia gani chadema kwani wanawake viti maalumu wanachaguliwa kwa formula aliyo iandaa dr Kitila,Zitto alipogombea Uenyekiti wa Chama ikabidi Mtei na Wazee wengine wakatishia kumvulia nguo!
2. Maendeleo yepi kama Chama kinajiita kikubwa kwa Upinzani kina ruhusu wabunge wake wachukue milion 90 wakati wakijua maisha ya mtanzania yako hoi!