Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Jamani ingawa Bunge lina mamlaka ya kujadili na kutengeza bajeti [MAPATO na MATUMIZI]: hili la kwetu limekuwa kujadili matumizi tu, wachache sana wanazungumzia mapato na Mbinu za kutafuta vyanzo!!!!
Alafu ati Wananchi wanaamini waBunge shujaa ni wale walalamikaji sio watoa majawabu!!!!
Hakuna Kazi Rahisi isiyohitaji shule Kama ya Kulalamika au Kupanga Matumizi!!!!
Alafu ati Wananchi wanaamini waBunge shujaa ni wale walalamikaji sio watoa majawabu!!!!
Hakuna Kazi Rahisi isiyohitaji shule Kama ya Kulalamika au Kupanga Matumizi!!!!