Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Za J2
Nilikuwa Kanisani nikaona Ben Paul kakaribishwa kuja kuimba, akaimba Gospel
Me nauliza tu Ben Paul kwani ameendaga wapi?!
Umaarufu wake umeisha?!
Ndio tumetoka Kanisani nasubiri atoke nipige nae selfie
Nilikuwa Kanisani nikaona Ben Paul kakaribishwa kuja kuimba, akaimba Gospel
Me nauliza tu Ben Paul kwani ameendaga wapi?!
Umaarufu wake umeisha?!
Ndio tumetoka Kanisani nasubiri atoke nipige nae selfie