Swali: Anafikiaje maliwato?

Swali: Anafikiaje maliwato?

Choo ya JKT.
Nimetoka kuoshea mikono hapo, hiyo pia ni kazi.

Hiyo sehemu inatumika pia maabara. Waliosoma Chemistry/Physics/Biology/Agriculture Sekondari wanazijua sehemu za namna hiyo maana lazima wamefanya majaribio kwa vitendo.

Ila kwa wale waliosoma shule za kata ambazo hazina maabara na hawakufanikiwa kusoma masomo ya sayansi kidato cha 5 na 6 hawawezi kuzijua hizo sehemu kiurahisi.

HKL= Hakuna Kuingia Laboratory(sio mimi nimesema, kuna mtu hapa kasema)
Haaah 😆😆 HKL-Hakuna Kusoma Lakini🛌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom