Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Pale msukuma anapojaribu kupiga selfie huku akiwa hana hakika kama picha itatokea ama laah heheheheee
Eewaaah imetokea hihihihiiiii
NB: wasukuma ni binamu zangu tuna utani mwingi.
Choo ya JKT.
Haaah 😆😆 HKL-Hakuna Kusoma Lakini🛌Nimetoka kuoshea mikono hapo, hiyo pia ni kazi.
Hiyo sehemu inatumika pia maabara. Waliosoma Chemistry/Physics/Biology/Agriculture Sekondari wanazijua sehemu za namna hiyo maana lazima wamefanya majaribio kwa vitendo.
Ila kwa wale waliosoma shule za kata ambazo hazina maabara na hawakufanikiwa kusoma masomo ya sayansi kidato cha 5 na 6 hawawezi kuzijua hizo sehemu kiurahisi.
HKL= Hakuna Kuingia Laboratory(sio mimi nimesema, kuna mtu hapa kasema)![]()
Choo ya kininja
Kama sink etiDaah![]()

choo cha Salome akiwa kazini asiangaike wakati wa kuosha glass