Swala la mahakama ya kadhi na OIC limempunguzia JK kura uchaguzi uliopita?

Stevemike

Senior Member
Mar 12, 2011
117
15
Ktk uchaguzi wa mwaka 2005, JK alipita kwa zaidi ya 80%. Ktk kipindi chake cha kwanza kumetokea misukosuko mingi ikiwemo mjadala wa mahakama ya kadhi na OIC. Ktk uchaguzi uliopita, 2010, kura zake zimepungua kwa zaidi ya 20%. Je, mambo haya mawili pia yamechangia kupunguza kura za JK ktk uchaguzi uliopita 2010? Na ni kivipi? Haya tuendelee!
 
posti za udini hazina mantiki, ukweli ni kwamba ni kama tukiwaweka vilaza mahali pamoja basi ye atakuwa kiranja wao, hana kitu kichwani na wananchi wamegundua hilo, mtaji wa CCM ni wananchi wa vijijini ambao wengine bado wanadhani Nyerere bado ni Rais.
 
ktk uchaguzi wa mwaka 2005, jk alipita kwa zaidi ya 80%. Ktk kipindi chake cha kwanza kumetokea misukosuko mingi ikiwemo mjadala wa mahakama ya kadhi na oic. Ktk uchaguzi uliopita, 2010, kura zake zimepungua kwa zaidi ya 20%. Je, mambo haya mawili pia yamechangia kupunguza kura za jk ktk uchaguzi uliopita 2010? Na ni kivipi? Haya tuendelee!

sababu ni nyingi zimeongelewa katika forums nyingi, we search tu utapata. Hizi za kidini dini hazina tija
 
sababu kuu hasa ni OIC, mahakama ya kadhi na zanzibar kuwa na katiba yao. kwani huko ccm waliopo ni haohao na leo hii wanampinga kikwete wala si ccm. we subiri tu 2015. I'm sure you will prove me wright/wrong. Time will tell.
 
Back
Top Bottom