Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
SWAGA ZA WADADA ZETU ILI WAONEKANE NAO WAMO HASA WAKITOKA USWAZI WAKAWA WAMENDA OUT MITAA YA USHUANI;;;
1. Halima muhudumu naomba unilete salad ya moto, na chupa ya Amarula.
2. Chausiku ..nipe PIN yako niwe nakupigia
3. Siwema .nimechokaje, nimeshinda Shoprite natengeneza nywele
4. Gulo .Boifrend wangu kanambia likizo ya summer mwaka huu London nikale Chrismas
5. Cynthia Nimenunua BlackBerry wamenambia PIN nikaipitie kesho
6. Fulo....Mi napendaga kusafiri na Presishen, napenda viti vya dirishani, mtu unakaa unafungua kioo chako hewa safiii mpaka mwisho wa safari.
7. Fatu .kiukweli mi niliipenda London kuliko Uk
1. Halima muhudumu naomba unilete salad ya moto, na chupa ya Amarula.
2. Chausiku ..nipe PIN yako niwe nakupigia
3. Siwema .nimechokaje, nimeshinda Shoprite natengeneza nywele
4. Gulo .Boifrend wangu kanambia likizo ya summer mwaka huu London nikale Chrismas
5. Cynthia Nimenunua BlackBerry wamenambia PIN nikaipitie kesho
6. Fulo....Mi napendaga kusafiri na Presishen, napenda viti vya dirishani, mtu unakaa unafungua kioo chako hewa safiii mpaka mwisho wa safari.
7. Fatu .kiukweli mi niliipenda London kuliko Uk