kipwate
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 517
- 509
Ahaaaa amemalia kutangaza muda sio mrefu mkuuu saa kumi na mbili kamili mtegee yuko vzr asee ana mobimba ya kibabeHii habari bila picha hainogi hata
Ahaaaa amemalia kutangaza muda sio mrefu mkuuu saa kumi na mbili kamili mtegee yuko vzr asee ana mobimba ya kibabeHii habari bila picha hainogi hata
ahahahahahha!ila kweli anakera!hatulii yaan mhhh
Shida n hzo kampun wanazofanyiaUmeongea kweli mkuu, Suzy ni mzuri ila kama vile hajiamini, ukisikiliza sauti yake inakera anaibana mpaka basi, ukija kwenye mavazi ndio balaa, juzi alivaa kaptula mapaja yote wazi, ikaja tena amevaa kipensi cha jins halavu chini kimechanwa chanwa kama vile viguo vya saida anavyochezea muziki wake, mapaja yote wazi juu kiblauzi kimebana nyonyo..aiseeee yale mavazi si ya kuvaa kazini sijui why wanaruhusiwa?!
anhaa sawaAhaaaa amemalia kutangaza muda sio mrefu mkuuu saa kumi na mbili kamili mtegee yuko vzr asee ana mobimba ya kibabe
Aha ok mkuuanhaa sawa
Huyo kipaji chake kiko pale meeda sinza yaani anajichechetua na kujiona anajua wakati ni ziro kabisaHivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha. Ananikera.
Jitoe ufahamu mtokee hivyo hivyo,nenda kwa mganga akupe kizizi,akikubali tafuta kasongo sebene utakuwa umemaliza Kazi.