Suzzy wa E-News EATV, kipaji hutakiwi kulazimisha

Umeongea kweli mkuu, Suzy ni mzuri ila kama vile hajiamini, ukisikiliza sauti yake inakera anaibana mpaka basi, ukija kwenye mavazi ndio balaa, juzi alivaa kaptula mapaja yote wazi, ikaja tena amevaa kipensi cha jins halavu chini kimechanwa chanwa kama vile viguo vya saida anavyochezea muziki wake, mapaja yote wazi juu kiblauzi kimebana nyonyo..aiseeee yale mavazi si ya kuvaa kazini sijui why wanaruhusiwa?!
Shida n hzo kampun wanazofanyia
Kaz hazna,sheria ya mavaz ya
Kuvaa uwapo kazn yan ww unamua
Uvae gani hakuna wakukuuliza
Ilimrad tu umefka job

Eg:mwangalie diva pale clouds
Nguo anazovaa mpaka na jiuliza
Hua anaenda kaz ama n biashara
Anafanya

Mwanangalie adam mchomvu
Hyo minywele na zle bangi zake anazofuta anaingia nazo job
Hvo hvo

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Hivi huyu dada nyie mnamuonaje, mi naona anakaribia kunifanya niache kukiangalia kipindi ambacho nakipenda. Sauti ya kuchonga, mavazi shida. Kweli kuna kazi ni kipaji na hutakiwi kulazimisha. Ananikera.
Huyo kipaji chake kiko pale meeda sinza yaani anajichechetua na kujiona anajua wakati ni ziro kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom