Car4Sale Suzuki Van for sale 4.8m, pungufu unaongea

HABARI ZENU WAPENDWA, NASHUKURU NIMEFANIKIWA KUPATA MTEJA NA GARI NIMEISHAIUZA LEO MCHANA, ASANTENI SANA KWA MAOMBI YENU (GARI IMESHAUZWA).
 
Suzuki van for sale 4.8m pungufu unaongea

Habari zenu wapendwa, nauza gari yangu aina ya suzuki every van tshs. 4,800,000/= pungufu unaongea. Mimi ndie mmiliki wa gari na wala sio dalali. Wasiliana nami kupitia namba 0716 00 23 23, frank jb.

Namba ya gari ni: t 411 caf, suzuki every.

Rangi ni: silver.

Gari ni ya mwaka: 2000.

Ukubwa engine ina cc: 657.

Gari ni nzima na haidaiwi, ni full vibali yani wewe ni kulipia, kuwasha na kuondoka.

Na ni automatic gear na inapakia watu saba (7) mpaka tisa (9).

Na mpaka sasa imetembea kilometa 85,000 tu.

Kwenye upande wa mafuta inanusa kwakuwa ina engine ndogo, na mizunguko yangu huwa natoka nayo goba nyumbani kwangu hadi kinondoni kazini kwangu kwahivyo nikiweka mafuta full tank ya elfu 60 huwa nayatumia siku 13 mpaka siku 14 ndo naingia petrol station tena.

Dhumuni ya kuiuza: nina uhitaji wa pesa haraka ili niweze kufanyia biashara nyingine kwahivyo usiwe na wasiwasi kuhusu bei kwakuwa bei inapungua tena inapungua sana tu usiogope mimi ndie mwenye gari, picha zake nimeambatanisha. Nipigie kwenye namba yangu ya 0716 00 23 23, frank jb ili tuongee, asante.

View attachment 463659

View attachment 463660
View attachment 463661 View attachment 463662

View attachment 463663

View attachment 463664
View attachment 463665
View attachment 463666
View attachment 463668 View attachment 463669 View attachment 463670 View attachment 463671

Kwa miaka yote imetembea kilometer 85 elfu tuu ????? ????? Vizia wakumpiga
 
Acha kuliakulia wé...mwenzako ashaiuza ....wenye kuhitaji Gari washamaliza

Ova
Ahsante kaka kwa kunisaidia kunijibia huyo anaejihita ngurumoo, huyu ngurumoo ana roho mbaya utafikiri jini makata
 
Kwa miaka yote imetembea kilometer 85 elfu tuu ????? ????? Vizia wakumpiga
Kaa kimya na acha roho mbaya kama umekalia jeki. Kwahivyo kama gari ilinunuliwa ukiwa 0 kilometer? Kwa taarifa yako gari nimeshauza tangu mchana acha roho mbaya kama umekalia msumar wa moto!
 
Back
Top Bottom