Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Nadhani mtakubaliana nami kuwa mshahara wa mfanyakazi wa kawaida wa serikali kuwa hautoshi kwa maisha ya sasa.
Kutokana na suala hilo wengi wetu huona ni heri mtu akifanya kitu cha ziada ili aongeze kipato kutoka vyanzo vya nje, sasa kwangu mie nimeona nijaribu kufanya biashara ya gari ndogo za mizigo(Suzuki carry).
Mie ni mgeni katika ujasiriamali wa namna hii tafadhari kwa wale wazoefu, naomba mnijuze ni maeneo gani mazuri kwa biashara hii hapa Dsm, na gari hulaza bei gani kwa siku na mengine muhimu!!.
Kutokana na suala hilo wengi wetu huona ni heri mtu akifanya kitu cha ziada ili aongeze kipato kutoka vyanzo vya nje, sasa kwangu mie nimeona nijaribu kufanya biashara ya gari ndogo za mizigo(Suzuki carry).
Mie ni mgeni katika ujasiriamali wa namna hii tafadhari kwa wale wazoefu, naomba mnijuze ni maeneo gani mazuri kwa biashara hii hapa Dsm, na gari hulaza bei gani kwa siku na mengine muhimu!!.