Suzuki carry inauzwa haraka 3,750,000/=

Suzuki carry inauzwa haraka 3,750,000/=

zebanga watelanga

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
862
Reaction score
398
Suzuki carry 4wd imetembea km 95600 injin hajawai funguliwa ila chesess iliugwa kidogo kutokana kulikua nakutu ikaweka ufa vibal vyote vipo ok karibu kuliona lipo pugu.Dsm bei mill3,750,000 sim 0712690760
 

Attachments

  • 1428304039501.jpg
    1428304039501.jpg
    85.1 KB · Views: 510
  • 1428304089616.jpg
    1428304089616.jpg
    88.5 KB · Views: 448
  • 1428304400483.jpg
    1428304400483.jpg
    69 KB · Views: 412
Hili litakua bomu.

Bomu la Atomic au Nuclear?
Mkuu Acha kuharibu Biashara za watu hata kama bei ni ndogo ameshasema hapo kuwa imeshaungwa Chesses kuna jingine tena? Au mnataka mtu akuuzie kitu kwa bei kubwa na Ugonjwa wa gari ameuficha?

Big up mkuu kwa kuwa muwazi na Biashara yako hata M/Mungu anapenda watu wa namna hii.
 
Bomu la Atomic au Nuclear?
Mkuu Acha kuharibu Biashara za watu hata kama bei ni ndogo ameshasema hapo kuwa imeshaungwa Chesses kuna jingine tena? Au mnataka mtu akuuzie kitu kwa bei kubwa na Ugonjwa wa gari ameuficha?

Big up mkuu kwa kuwa muwazi na Biashara yako hata M/Mungu anapenda watu wa namna hii.

Acha kunizingua eroo,ww ni nani mpaka unipangie cha kusema?
 
Mimi nakupongeza muuzaji, hakika binafsi nahitaji watu wa hivyo! Achana na wakatisha tamaa, labda niulize kingine kwa faida ya wengi.....
1. Road licence inaisha lini
2. Bima inaisha lini
 
Big up sana mkuu usijali mnunuzi utamjua na mpiga porojo na kupoteza muda kwa kukatisha wenzao tamaa utamjua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom