zebanga watelanga
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 862
- 398
Wewe acha uongo usiongee vitu usivyovijua kaa kimyaWatanzania sijui ni lini tutaondokana na ujinga!!hizi gari kwa kuagiza unapata kwa million tano hadi mkononi mwako,ikiwa na kilometre chache,hali nzuri,4wd,n.k sasa hii imetumika hadi imechoka alafu unaenda kununua kwa laki 5.8 kama sio ujinga ni nini??
Onyesha nilipoongea uongo.
Watanzania sijui ni lini tutaondokana na ujinga!!hizi gari kwa kuagiza unapata kwa million tano hadi mkononi mwako,ikiwa na kilometre chache,hali nzuri,4wd,n.k sasa hii imetumika hadi imechoka alafu unaenda kununua kwa laki 5.8 kama sio ujinga ni nini??
Watanzania sijui ni lini tutaondokana na ujinga!!hizi gari kwa kuagiza unapata kwa million tano hadi mkononi mwako,ikiwa na kilometre chache,hali nzuri,4wd,n.k sasa hii imetumika hadi imechoka alafu unaenda kununua kwa laki 5.8 kama sio ujinga ni nini??
Kodi ya TRA: 3,213,888/=
View attachment 248883
Bei ya Japenga:1,213 USD = 2,444,195/=(1USD = 2,015)
View attachment 248884
Bei ya Kununulia + Kodi ya TRA =5,658,083/=
Other Charges😛ort Charges+Agent Fee+Shipping Line,Appr~ 500,000/=
GRAND PRICE: 6,158,083/=
Shukran, hapo bado hujaweka registration fee nadhan kama laki 3 na 20 hivi
Duh,umevyoanza nilifikira una fact za ukweli.Watanzania sijui ni lini tutaondokana na ujinga!!hizi gari kwa kuagiza unapata kwa million tano hadi mkononi mwako,ikiwa na kilometre chache,hali nzuri,4wd,n.k sasa hii imetumika hadi imechoka alafu unaenda kununua kwa laki 5.8 kama sio ujinga ni nini??
Wabongo bhana hivi vigari asili yake vilikuwa vinauzwa bei poa watu wakavivamia jamaa wauzaji wakavipandisha bei serikali nayo ikaongeza kodi watu wakavinunua kwa fujo kwa ajili ya kuweka kijiweni kule vijiweni kazi hakuna matajiri hawapelekewi hela kwa hasira wanaamua kuviuza
Eti nasikia kuvichukulia ZNZ kuna unafuu ni kweli ???????????????Japan unawasingizia hawajapandisha bei, bali bei imepanda kutokana na dollar kupanda na serikali yako nayo kuongeza kodi maana mwaka wa fedha uliopita ilikuwa 1.8m lakini mwaka huu wa fedha vinafika hadi 3.5m sasa ukiachanganya na dolali ndo duuuuu
Tena sana,hadi 4.5 unapata show room.Eti nasikia kuvichukulia ZNZ kuna unafuu ni kweli ???????????????