Habari wana JF
Ninauza Gari langu aina ya Suzuki Carry/ kirikuu , Gari ni nzuri sana haina shida yoyote , inaendeshwa na kufika mkoa wowote , haijawai kufunguliwa engine wala gear box.
Ina mwonekano mzuri sana (mint condition), ina AC na tyre zote ni mpya zina miezi 2 tangu ziwekwe.
Kwa mteja mwenye 3,900,000 namwachia mazungumzo kidogo yapo , pia tunaweza kukubaliana akanilipa kwa installments akanipa 3,000,000 inayobaki akanipa badae, ,,,
Pia nakarbisha mtu anayeweza kunikopesha 3,500,000 nikampa gari kama bond ili nimalize tatizo langu haraka kwa sasa.
Gari iko Mkoani Geita mjini,inaweza kusafiri popote bila shida vibali vyote vipo .
Namba 0711286971.
Unaendel
Ninauza Gari langu aina ya Suzuki Carry/ kirikuu , Gari ni nzuri sana haina shida yoyote , inaendeshwa na kufika mkoa wowote , haijawai kufunguliwa engine wala gear box.
Ina mwonekano mzuri sana (mint condition), ina AC na tyre zote ni mpya zina miezi 2 tangu ziwekwe.
Kwa mteja mwenye 3,900,000 namwachia mazungumzo kidogo yapo , pia tunaweza kukubaliana akanilipa kwa installments akanipa 3,000,000 inayobaki akanipa badae, ,,,
Pia nakarbisha mtu anayeweza kunikopesha 3,500,000 nikampa gari kama bond ili nimalize tatizo langu haraka kwa sasa.
Gari iko Mkoani Geita mjini,inaweza kusafiri popote bila shida vibali vyote vipo .
Namba 0711286971.
Unaendel